Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Jumba la ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsante bossbonge moja la nyumba yaani, sema usawa unakaba.... kila la kheri mkuu
Mkuu kuna watu wanaishi kweli wengine tunaishi kwenye vibanda.Nyumba nzuri sana
Bei halali kabisa
Ova
Mbona bei ndogo hiyo? Amefanya assessment ya thamani ya hiyo nyumba au amekisia tu? Akumbuke kama alijenga zamani basi sasa kwa bei hiyo hawezi kabisa. La pili ajue hapo kuna capital gains tax (nadhani 10%) zitafyekwa na TRA.Nyumba nzuri sana
Bei halali kabisa
Ova
Hana hela yule mnenguaji tuMtag diamond
Hapana sio contempolary... Ina paa la kuonekanaFloor plan pls.
Ssioni vzr paa lake, kwani ni contempolary?
Africana ndio dream place ya nyumbayangumbezi beach africana.... upande wa chini
Umeona ule mgari alionunuaHana pesa hizo za kutoa kununua hilo jumba bila kuyumba. Mbwembwe tu.
MtumbaUmeona ule mgari alionunua
Bei gani uwouwo mtumbaMtumba
Jipya ni 99M-120M kwahiyo huo mtumba itakuwa kauchukua labda kwa 50MBei gani uwouwo mtumba
Duu wejaa kua na heshima 👐👐Jipya ni 99M-120M kwahiyo huo mtumba itakuwa kauchukua labda kwa 50M