Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, eneo zuri na hotel nzuri ila hiyo pesa, billion 16+Hii Hotel inauzwa ipo kigamboni finished rooms 54 na unfinished rooms ni 74 ukubwa wa eneo Ni heka 13 price Ni $ 7million Negotiable
Call/watsap 0715053339/0719236829
View attachment 2378055View attachment 2378056View attachment 2378057View attachment 2378058View attachment 2378059View attachment 2378060
Madalali muendage basi shule hata iwasaidie kwenye kazi zenu.Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya Goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia.
0715053339/0719236829
Inashangaza na kustaajabisha sehemu km goba kiwanja kipimwe kwa hatua za miguuMadalali muendage basi shule hata iwasaidie kwenye kazi zenu.
1) Muda (dakika) sio kipimo sahihi cha umbali. Sababu speed ya mtu (umbali over time) sio constant.
2) Miguu/Hatua sio kipimo sahihi cha urefu. Sababu Hashimu Thabiti akitembea hatua kumi sio sawasawa na Pierre Liquid akitembea hizohizo hatua kumi.
Bado mkuuNick Hotel & Pub... iko Kibamba! Naifahamu
Bado tu haijapata mteja Mkuu?
Asante kwa muongozo huu umetunasua nae.Kuna ndugu yangu nilimpa hii dili ni majanga, mhusika ni mswahili sana najuta hata kumuonyesha tangazo maana lawama kibao,
Kwanza details nyingi hapo sio kweli almost zote, aliyeweka namba naye hajui kitu kuhusu hilo mpaka aulize hapajui hata sehemu yenyewe inafananaje mzigo upo machimboni yaani kwenye mashimo makubwa ambayo kujenga kwake ni mziki mkubwa
Mwisho anaanza kupiga simu anatukana watu kama umeangalia halafu hujanunua, DUH...
Next customer !!!BEWARE!!!