Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam
Nick Hotel & Pub... iko Kibamba! Naifahamu

Bado tu haijapata mteja Mkuu?
 
Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya Goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia.

0715053339/0719236829
Madalali muendage basi shule hata iwasaidie kwenye kazi zenu.

1) Muda (dakika) sio kipimo sahihi cha umbali. Sababu speed ya mtu (umbali over time) sio constant.

2) Miguu/Hatua sio kipimo sahihi cha urefu. Sababu Hashimu Thabiti akitembea hatua kumi sio sawasawa na Pierre Liquid akitembea hizohizo hatua kumi.
 
Madalali muendage basi shule hata iwasaidie kwenye kazi zenu.

1) Muda (dakika) sio kipimo sahihi cha umbali. Sababu speed ya mtu (umbali over time) sio constant.

2) Miguu/Hatua sio kipimo sahihi cha urefu. Sababu Hashimu Thabiti akitembea hatua kumi sio sawasawa na Pierre Liquid akitembea hizohizo hatua kumi.
Inashangaza na kustaajabisha sehemu km goba kiwanja kipimwe kwa hatua za miguu

Dalali aache uswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dalali njaa, dalali wa uswahilini,

weka vipimo kwa meter, weka umbali toka barabara kwa mita

or else peleka tangazo kwa fesibukuz wenzio
 
Viwanja hivi vimepakana vipo Boko magengeni njia ya mageleza ya wazo
1 kinaukubwa w sqm 700 Bei milion 6.5
2 kinaukubwa wa sqm 500 bei 5.5 million (maelewano yapo kwenye Bei)
Huduma za maji na umeme vipo,pia pamepimwa tayari
Unaweza pitia madale mwisho,au Boko chama kwa boda Ni elfu 2000 Hadi kiwanja kilipo
Contact 0715053339/0719236829
 
Kuna ndugu yangu nilimpa hii dili ni majanga, mhusika ni mswahili sana najuta hata kumuonyesha tangazo maana lawama kibao,
Kwanza details nyingi hapo sio kweli almost zote, aliyeweka namba naye hajui kitu kuhusu hilo mpaka aulize hapajui hata sehemu yenyewe inafananaje mzigo upo machimboni yaani kwenye mashimo makubwa ambayo kujenga kwake ni mziki mkubwa
Mwisho anaanza kupiga simu anatukana watu kama umeangalia halafu hujanunua, DUH...

Next customer !!!BEWARE!!!
 
Kuna ndugu yangu nilimpa hii dili ni majanga, mhusika ni mswahili sana najuta hata kumuonyesha tangazo maana lawama kibao,
Kwanza details nyingi hapo sio kweli almost zote, aliyeweka namba naye hajui kitu kuhusu hilo mpaka aulize hapajui hata sehemu yenyewe inafananaje mzigo upo machimboni yaani kwenye mashimo makubwa ambayo kujenga kwake ni mziki mkubwa
Mwisho anaanza kupiga simu anatukana watu kama umeangalia halafu hujanunua, DUH...

Next customer !!!BEWARE!!!
Asante kwa muongozo huu umetunasua nae.
 
Nyumba inapangishwa mbezi juu karibu na Masana hospital . Ipo barabarani kabisa (barabara ya lami ya Goba)

Ipo ndani ya fence Ina vyumba 4, vi3 master, choo publick, sebule, dinning, uwanja unapaki gari 3/4 Bei laki 700,000 (maongezi yapo) kwa mwezi x6

Inafaa pia kwa matumizi ya kibiashara Kama office n.k

Watsap/call 0715053339

IMG_20221007_092006_810.jpg
 
Nyumba inauzwa mbezi juu Tanki bovu karibu na Masana hispital,ukubwa wa eneo Ni sqm 821 Bei ni Mln 90. (maongezi yanaruhusiwa).

Contact 0715053339/0719236829

IMG-20221007-WA0002.jpg
IMG_20221007_090400_811.jpg
IMG_20221007_090319_093.jpg
 
Jamani Jamani hili taifa ss ni hatare mnooo.
 
Back
Top Bottom