Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sawa basi kama ni hivyo kwa jinsi natunza kinywa changu vizuri acha niendelee na huu mchezo wa kuifyonzaNdio Mate yanaweza yakasababisha fangasi kwenye uke wa Mwanamke kama muhusika hatunzi kinywa chake vizuri.
Nipo nasoma comment kimya kimyaHili nalo linazidi kuwa janga.
Kuna Dada mmoja n mteja wangu anafanya ofisi X sijui huko ofisini wanashindaje nae π
Sijui Kama analijua tatizo lake maana hata ukikaa nae karibu unaipata harufu.
Ni mzuri ila changamoto yake ni hiyo ameshanitongoza zaidi ya mara 3 ila simpi ushirikiano wowote.
Nadhan wenye changamoto hii wanastruggle Sana kupata wenza na kudumu nao kwenye mahusiano.
Nasoma comment kimya kimya π€π€Niliwahi kuwa na mrembo fulani mzuri kweli kweli,lakini sasa wakati wa tendo ile harufu hata ukioga IPO tu.mwisho wake niliamua kumuacha kimyakimya.
Najua wako wengi wenye hiyo changamoto. Tunawasaidiaje?
Kua makini na yeye unayemnyonya kama hana fangasi, asije akakupa fangasi wa kooSawa basi kama ni hivyo kwa jinsi natunza kinywa changu vizuri acha niendelee na huu mchezo wa kuifyonza
Dr. Mariposa PhDSiku moja mwambie ukweli ikiwezekana muelekeze hospital nzuri, hawezi kuchukia
π³π³ mbona Dr. unaifanya hii starehe ionekane ngumu tenaKua makini na yeye unayemnyonya kama hana fangasi, asije akakupa fangasi wa koo
Phd ya mitishamba labda [emoji23]Dr. Mariposa PhD
Ndio ukweli mchungu huo,[emoji15][emoji15] mbona Dr. unaifanya hii starehe ionekane ngumu tena
Umenikumbusha zamani vyoo vya shule boarding ukitoka kujisaidia nguo na mwili wote.... zote zinanukia uvundo na fukuto la chooKuna mtu anaizoea harufu mbaya? Ukikaa karibu na choo kinachonuka kuna mda unaizoea ile hali? Na ukawa sawa kabisa
Kuna vitu vingine vinatibiwa empirically tu..Atamezaje dawa bila kupima? ni lazima aende kituo cha Afya akapime ndio apate dawa,
UTI haitoi harufu mbaya ukeni atajijua kwenye kukojoa
So unakataa Dr.Phd ya mitishamba labda [emoji23]
Haaahaaaπ€Kuna vitu vingine vinatibiwa emperically tu..
Bado sanaSo unakataa Dr.
Mzee wa kupambaniaπ³π³ mbona Dr. unaifanya hii starehe ionekane ngumu tena
SawaNdio ukweli mchungu huo,
Oral sex ni nzuri ila haiko safe 100% unaweza ukaambukizwa fangasi, magonjwa ya zinaa na hata kupata kansa kwa hiyo kupima ni muhimu kabla hujaanza kuburudika.
Ni antibiotic ambayo inatibu vitu vingi vinavyosababishwa na Bacteria..kama infection kwenye mapafu,njia ya mkojo,ubongo,joints etc.Mkuu
Na gentamycine ya kuchoma na sindano inatibu nini KWA WANAWAKE!!?
"Kipi kikuchekeshechacho?"Haaahaaa[emoji851]
Unachosema inaweza kuwa sahihi kuna wanangu wawili walikuwa wakali wa kufyonza nyuchiNdio ukweli mchungu huo,
Oral sex ni nzuri ila haiko safe 100% unaweza ukaambukizwa fangasi, magonjwa ya zinaa na hata kupata kansa kwa hiyo kupima ni muhimu kabla hujaanza kuburudika.
Udogoni udogoni iyo sentence tulishindwa kuisema haraka haraka......."Kipi kikuchekeshechacho?"