Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Hili nalo linazidi kuwa janga.

Kuna Dada mmoja n mteja wangu anafanya ofisi X sijui huko ofisini wanashindaje nae 😑

Sijui Kama analijua tatizo lake maana hata ukikaa nae karibu unaipata harufu.

Ni mzuri ila changamoto yake ni hiyo ameshanitongoza zaidi ya mara 3 ila simpi ushirikiano wowote.

Nadhan wenye changamoto hii wanastruggle Sana kupata wenza na kudumu nao kwenye mahusiano.
Nipo nasoma comment kimya kimya
 
Ndio ukweli mchungu huo,
Oral sex ni nzuri ila haiko safe 100% unaweza ukaambukizwa fangasi, magonjwa ya zinaa na hata kupata kansa kwa hiyo kupima ni muhimu kabla hujaanza kuburudika.
Unachosema inaweza kuwa sahihi kuna wanangu wawili walikuwa wakali wa kufyonza nyuchi

Mmoja meno yalianza kung'oka sijui kuna acid kali zikafanya meno yaanze kulegea na kung'oka kule chini mwingine tulimzika cancer ya koo ilimuondoa
 
Back
Top Bottom