wajinga ndio WALIwao acha mi niendelee na ubwabwa,Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Mbowe delay uteuzi wa mgombea chadema Hadi ACT wazalendo watangaze wao.Hili Ni shinikizo kwa kamati kuu usikubali.Huyu anataka kutimukia ACT wazalendo anawahi kuchukua pesa za Wana chadema kabla ya uteuzi ili akibwagwa aende nazo ACT wazalendo
Kawaida hii ya kuchangisha ilitakiwa apate uteuzi kwanza akishapata ndipo chama kiombe michango kwa wanachama kupitia akaunti za chama ili kufanikisha kampeni za mgombea uraisi aliyeteuliwa na chama
Tundu Lisu atakivuruga chama huyu anaenda ki Kama mgombea binafsi anasahau kuwa yeye anawania kupitia chama
Huyu anadharau protocol .Pesa zinachangwa kwenda individual pocket!!!???
Zinatakiwa kwenda akaunti za Chadema
Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!Uneonesha njaa zako hadharani Bi Dada
Ma Sponsor tumeguswa
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Magonjwa mtambuka umepona kifafa?Umeshachangia?
Muandiko wa Kike Dada.Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!
Kwahiyo sio Mali ya mabeberu peke Yao?Nchi zote dunia Ni wanachama hakuna mmiliki
Unakielewa ulicho kiandika?
Chadema hakuna demokrasia, labda uwe umeropoka tu.
Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!
Vijana wa chadema kumbe bado mna namba za voda?
Kwani Mabeberu yake yamegoma kumchangia
Unakielewa ulicho kiandika?
Chadema hakuna demokrasia, labda uwe umeropoka tu.
Kuna Domo krasia
Saa 11 asubuhi Lissu anatangazwa mshindi magu amechuja vibaya mno siku hizi.Changia sacos hiyo.
Ila ningekuwa naitetea CDM ungeniona mwanaume;Sawa
Pesa za kulewea mpaka miguu inavunjika zipo, za kuchukulia fomu tuchange sisi, duh..yule mama na Msigwa wao fomu wanapewa bure? afu bado mapema sana na mwenyekiti hajapata haki, kwa nini swala lake la kuvamiwa na kuvunjwa mguu tunalizima kwa kasi sana?Kama unaona haikihusu,kaa kushuto.
Nijuavyo mimi ni kuwa, hata kuchukua form ya kugombea uraisi ndani ya chama ni gharama(unalipia) ingawa sijui ni kiasi gani mbali na kusaka wadhamini kwahiyo ni wazi kuna gharama za awali ambazo hazikwepeki.
Umeandika vyema.Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
Wapi B8 zetu!
Ndiyo.Akithibitisha kwa mdomo hizo namba lazima nimchangie.lissu Ni mzalendo.
Anza kujihoji akili zako zilivyo..., kwa maana zako ni za zaidi ya hiyo "wonders shall never end"!Wonders shall never end,huyu naye akili zake zinamtuma kabisa kuwa anaweza kuwa rais wa JMT.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app