Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
wajinga ndio WALIwao acha mi niendelee na ubwabwa,
 
Mbowe delay uteuzi wa mgombea chadema Hadi ACT wazalendo watangaze wao.Hili Ni shinikizo kwa kamati kuu usikubali.Huyu anataka kutimukia ACT wazalendo anawahi kuchukua pesa za Wana chadema kabla ya uteuzi ili akibwagwa aende nazo ACT wazalendo

Kawaida hii ya kuchangisha ilitakiwa apate uteuzi kwanza akishapata ndipo chama kiombe michango kwa wanachama kupitia akaunti za chama ili kufanikisha kampeni za mgombea uraisi aliyeteuliwa na chama

Tundu Lisu atakivuruga chama huyu anaenda ki Kama mgombea binafsi anasahau kuwa yeye anawania kupitia chama

Huyu anadharau protocol .Pesa zinachangwa kwenda individual pocket!!!???
Zinatakiwa kwenda akaunti za Chadema

Popote atakapoenda kasoro ccm, nitamuunga mkono.
 
Hilo tangazo ni la kweli ?? Maana kuna matapeli wengi sana
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
 
Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!
Muandiko wa Kike Dada.
So hutaki ma Sponsor tuku sort?
Kwa nia Njema tu
 
Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!

Siku zote mimi najua ww ni mwanamke kutokana na uandishi wako. Kama kweli ni mwanaume, jichunguze unakosea wapi.
 
Ila ningekuwa naitetea CDM ungeniona mwanaume;Sawa

Haijalishi, lakini kweli siku zote najua ww ni ke. Au huwa unajilengesha kiaina kwa mabasha humu jukwaani? Tujilishane maana tunatumia hiyo huduma, fahamu siasa sio uadui.
 
Kama unaona haikihusu,kaa kushuto.

Nijuavyo mimi ni kuwa, hata kuchukua form ya kugombea uraisi ndani ya chama ni gharama(unalipia) ingawa sijui ni kiasi gani mbali na kusaka wadhamini kwahiyo ni wazi kuna gharama za awali ambazo hazikwepeki.
Pesa za kulewea mpaka miguu inavunjika zipo, za kuchukulia fomu tuchange sisi, duh..yule mama na Msigwa wao fomu wanapewa bure? afu bado mapema sana na mwenyekiti hajapata haki, kwa nini swala lake la kuvamiwa na kuvunjwa mguu tunalizima kwa kasi sana?
 
Anapoteza muda na pesa zake tu,bora hizo pesa anazosaka azipige pombe tu kama mwenzake anavyofanya ,matumaini hayapo tena.
 
Abebe box kwanza 2025 ndio arejee.kwa sasa hii spidi hatutaki kuidistab
IMG_20200613_150149.jpeg
IMG_20200613_150054.jpeg
 
CDM kila mtu kambale, mwamba anamtaka Msigwa. Huyo perepete sijui atapitaje kwenye chama, labda aende ACT
 
Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
Umeandika vyema.

Nchi yetu inahitaji ukombozi mpya.

Kuna hawa watawala ambao sasa wanajiona kama sisi ni mali zao, hatuna utashi wa kuwaondoa, hadi wanatunga sheria za kutukandamizia na tusifanye lolote juu yao.
 
Back
Top Bottom