mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Ipo ipo kwenye zile bill 8 alikula mboweVipi baada ya kufika bei na wale wanasiasa wafia tumbo ile trilioni 1.5 mliotupora sasa imebaki ngapi sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo ipo kwenye zile bill 8 alikula mboweVipi baada ya kufika bei na wale wanasiasa wafia tumbo ile trilioni 1.5 mliotupora sasa imebaki ngapi sijui.
Mkuu mr chopa, hiyo smartphone uliyopewa na polepole kwaajili ya KUFIA CHAMA humu ni i phone toleo gani? Au mligawiwa tecno tu?Ipo ipo kwenye zile bill 8 alikula mbowe
Uwe na adabu Kama wewe umepewa huko bavicha sio wote,ujue ili iweje? Hata iwe ya kitochi Ni yanguMkuu mr chopa, hiyo smartphone uliyopewa na polepole kwaajili ya KUFIA CHAMA humu ni i phone toleo gani? Au mligawiwa tecno tu?
Wana ccm kwa sasa wanajiita matanga, au unataka kirefu chake?Mkuu Unaona sasa madhara ya kuiga hovyo hovyo,matanga ndo nini?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ubunge tu ameshindwa kuutendea haki atauweza urais ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Aliyepo madarakani kaufanyia nn urais?? Akiwa mbunge chatto kaifanyia nn, ulishawahi kufika chatto ??Ubunge tu ameshindwa kuutendea haki atauweza urais ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kuwa mjinga zaidi ya hao"Wajinga ndo waliwao"
Ipo wapi wakati bado tunaona bakuli linatembezwa. Tunamepwa msaada hata wa Shilingi Bilioni 7+. Very shameful.Ipo ipo kwenye zile bill 8 alikula mbowe
Mpaka traffic light aliweka akiwa mbungeAliyepo madarakani kaufanyia nn urais?? Akiwa mbunge chatto kaifanyia nn, ulishawahi kufika chatto ??
Mpaka traffic light aliweka akiwa mbunge
Kama alichokifanya Mh rais mpaka sasa hukioni basi bila shaka una matatizo ya kiakili.Aliyepo madarakani kaufanyia nn urais?? Akiwa mbunge chatto kaifanyia nn, ulishawahi kufika chatto ??
Kufanya maendeleo unaita sifa za kijinga?Sifa za kijinga, wananchi wa Chato walikuwa wanahitaji traffic lights? Au ni yale yale ya yeye kutekeleza kinachomfurahisha?
Kufanya maendeleo unaita sifa za kijinga?
Una matatizo wewe si bure.
AmenHuyu nitamchangua 150,000 kufikia mwisho wa wiki. Niko radhi familia yangu ikae kwa shida. Ni nitaongeza kadiri muda unavyokwenda. Atudhibitishe tu pesa zetu kutumika kwa shughuli husika.
Unajua sheria za kufungwa traffic lights zikoje?Maendeleo ya traffic lights mahali kwenye magari yasiyizidi 100 kwa siku ni maendeleo, au ni ulimbukeni na ubinafsi wa kijinga?
Unajua sheria za kufungwa traffic lights zikoje?
Kumbe ninaongea na kijana asiyejielewa .Sihitaji kujua sheria, lakini wingi wa magari ndio kigezo namba moja. Sihitaji kwenda kujifunza sheria ili kujua ni wapi traffic lights zinahitajika, akili ya kawaida kabisa inaweza kujua hilo. Au unadhani ukinitajia hilo neno sheria ndio litanitisha?
Kumbe ninaongea na kijana asiyejielewa .
Kwa heri ,siku ukijitambua njoo tuendeleze mjadala.
Sasa kama wagombea hawachukuliane itakuwaje aje tu?Ajue kuwa form hawachukuliani pale NEC...