Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Kwa mtazamo wangu nibora familia ya jpm na familia ya lissu wakae chini wayamalize kuliko kila siku kumsema jpm kuhusu taribio hili la mauaji.

Na kwahili familia nzima ya jpm inapata lawaza zote!
 


Hakuna mtu makini atampinga Lissu kwenye hili maana ni ukweli mtupu. Watabadilisha mada tu hapa
 
Kwa hiyo unakubaliana nami kuwa Magufuli aliposema anayeenda kinyume na nchi auawe, alimaanisha anayeenda kinyume na yeye Magufuli, auwe.
 
Jichagulie jina mwenyewe linalomaanisha nguruwe mla mavi. Maana kwenye list ya binadam umeamua kujitoa
 
Kwa hiyo unakubaliana nami kuwa Magufuli aliposema anayeenda kinyume na nchi auawe, alimaanisha anayeenda kinyume na yeye Magufuli, auwe.
Hiyo iko duniani kote

Wanakijiji wa Njololo walimshuhudia Mwangosi

Wapemba walihamia Shimoni Kenya nk....nk

Udikteta wa kikatiba ni ule ule tofauti ni mbinu zinazotumika tu

Kama unabisha subiri uone kama Covid 19 hawatafika 2025
 
Mungu anawapenda sana wenye dhambi ili waifikilie toba!

Maana hata wewe unaibilisi wako na ndiyo maana unadhambi unazozificha machoni pa watu lakini kwa Mungu huna uwezo wa kuzificha
Mungu ni mwenye huruma, mwingi wa rehema na msamaha kwao wanaotubu, na siyo wanaonea fahari uovu wao. Mungu hutoa msamaha kwa yeyote anayemlilia, lakini Mungu hafungamanishwi na shetani. Mungu huonesha ukuu wake kwao wamliliao na huwapa ushindi wale wanamlilia na kumtegemea kwa wakati ufaao.

Mimi sina ibilisi wangu. Ibilisi au shetani ni mmoja tu kwa watu wote, japo ana mawakala wake hapa Duniani. Wanadamu, kuna wakati tunaanguka katika dhambi lakini haimaanishi kuwa kwa kuanguka katika dhambi, basi tumekuwa sehemu ya utawala wa shetani. Lakini wapo ambao ni wa utawala wa shetani, hawa humtegemea shetani kwa kila jambo. Hujasikia kuwa wapo baadhi ya watu, kabla ya kugombea madaraka wanaenda kwa mganga wa kienyeji? Hujasikia wapo ambao kabla hajalima au hajaanza ajira anaenda kwa mganga wa kienyeji? Hawa ndio wa utawala wa shetani, maisha yao wameyaegemeza kwa shetani. Kwao ushindi na mafanikio yao, yapo kwa shetani. Mimi siyo mtakatifu, lakini maisha yangu nimeyaegemeza kwa Mungu wa kweli aishiye katika nafsi tatu.
 
Huyo Tundu Lissu, ninachomsifu huwa haogopi kutamka lolote!

Kama ni nyeupe atasema ni nyeupe. Full Stop
Kwa hiyo lisu alikuwa msaliti?

Kama ni hivyo basi ilikuwa sahihi kwake kuuliwa
 
Lisu anajichanganya sana
 
Vipi wale walitupa bomu na kuua watu 5 pale kwenye mkutano wa chadema soweto arusha wao watapelekewa moto lini?

Vipi wale waliomtesa Ulimboka?

Vipi waliomsambaratisha mwangosi kwa bomu?

Vipi mungu wako anawapelekea moto ccm lini ili mjikomboe?
 
Angeweza kushtakiwa kwa vitendo vyake kama Magufuli na siyo Rais. Kuna avenue ya kumshtaki
Mbona Jk aliua watu watano kwa bomu kwenye mkutano wa chadema kule soweto arusha na yupo?

Mwangosi je?

Ulimboka?

Au lisu yeye ni nani?

Takataka kabisa
 
Kwa hiyo lisu alikuwa msaliti?

Kama ni hivyo basi ilikuwa sahihi kwake kuuliwa

..alitakiwa afikishwe MAHAKAMANI.

..Magufuli na serikali wangetoa tuhuma na ushahidi wake na Lissu angejitetea.

..baada ya hapo mahakama ndio ilipaswa kutoa hukumu stahiki.

..kama Mbowe alishtakiwa kwa ugaidi, Bibi Titi Mohammed alishtakiwa kwa uhaini, Thomas Zangira alishtakiwa kwa espionage, nini kiliwazuia kumpeleka Lissu mahakamani?
 
Adhabu ya kusaliti nchi ni nini?

Yani kupoteza muda mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…