whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Kwa maana hii hata mahakama haiwezi kuwa huruLabda nikukumbushe
Jaji mkuu anateuliwa na Rais wa JMT
Spika wa Bunge anapendekezwa na CC ya CCM ambayo Rais wa JMT ndiye Mwenyekiti wake na vikao vyake hufanyikia Ikulu
CDF anateuliwa na Rais wa JMT
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi anateuliwa na Rais wa JMT
Msajili wa Vyama vya Siasa anateuliwa na Rais
Kwa kifupi Katiba ndio inampa Udikteta Rais
Usidanganywe na chochote kwa Tanzania Rais ndio Nchi yenyewe!
Lisu ni old stori hana maajabuJumatatu yuko ITV kile kipindi cha dakika 45. Yaani kila chombo cha habari kina tafuta kipindi na Lissu. Usishangae hata TBC wakawa nae soon.
Nani? Ndesamburo na Mtema?Daaah mungu fundi katoa oda kakufa zake yy.chuma kipo kinaelea
Usiseme Mungu wako, sema Mungu wetu. Mungu wa kweli ni wa wanadamu wote, wewe na mimi.Vipi wale walitupa bomu na kuua watu 5 pale kwenye mkutano wa chadema soweto arusha wao watapelekewa moto lini?
Vipi wale waliomtesa Ulimboka?
Vipi waliomsambaratisha mwangosi kwa bomu?
Vipi mungu wako anawapelekea moto ccm lini ili mjikomboe?
Alikuwa kinyume na maamuzi ya dikteta Magufuli.Kwani Lisu alikuwa anaenda kinyume na nchi?
Kama ni hivyo basi ilikuwa sahihi
Wa MchongoLisu ni old stori hana maajabu
Lini alijiona yeye ndio nchi?Alikuwa kinyume na maamuzi ya dikteta Magufuli.
Note:
Kwenye utawala wa kidikteta, dikteta hujiona yeye ndiyo nchi.
Chadema yenyewe inaongozwa kidiktetaAlikuwa kinyume na maamuzi ya dikteta Magufuli.
Note:
Kwenye utawala wa kidikteta, dikteta hujiona yeye ndiyo nchi.
Tusiseme mengi sana, wote hatujui huenda huko alipo hii kauli yako ikawa imechochea kuni ama kama atakuwa miongoni mwa Watakatifu basi atakuwa anawaombea wale wanamsemea mabaya.Lini alijiona yeye ndio nchi?
Magufuli alisema msaliti wa nchi hapaswi kuishi!
Lisu yeye anasema kwa kauli hiyo ndio sababu akapigwa risasi!
Swali, yeye Lisu alikuwa msaliti?
Utaelezwa mpaka lini ili akili yako ielewe?Lini alijiona yeye ndio nchi?
Magufuli alisema msaliti wa nchi hapaswi kuishi!
Lisu yeye anasema kwa kauli hiyo ndio sababu akapigwa risasi!
Swali, yeye Lisu alikuwa msaliti?
Kajishtukia wapi?Sasa kwanini lisu ajishtukie kwamba yeye alikuwa ndio msaliti?
Damu za watanzania zitawatesa sana.Mbona Jk aliua watu watano kwa bomu kwenye mkutano wa chadema kule soweto arusha na yupo?
Mwangosi je?
Ulimboka?
Au lisu yeye ni nani?
Takataka kabisa
Kwahiyo waliomshambulia ni Wanajeshi ( kama alivyowataja hapa juu katika Maelezo yake ) kwa Kupokea Amri kutoka kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli au?Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;
"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."
Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.
View attachment 2504783
Mbona Zitto Kabwe alimpinga Sana na kuhoji zilipo 1.5T lakini hakufanywa lolote?Utaelezwa mpaka lini ili akili yako ielewe?
Kwa akili za kishamba za yule jamaa kila aliyekuwa anapinga hoja zake za kijinga alikuwa msaliti wa nchi, kwani aliamini yeye ndio Tanzania!
Huyo mbowe naye huyo... mhhhh! Wamuangalie sana! 🤔🤔☻Mbona Zitto Kabwe alimpinga Sana na kuhoji zilipo 1.5T lakini hakufanywa lolote?
Tundu Lisu alikuwa anahoji mambo ya kawaida Kabisa yenye Msingi wa kisheria tofauti na Zitto aliyekuwa anachimba mambo mazito
Mnapomzungumzia Tundu Lisu msimsahau Chacha Wangwe RIP
Wote Ilikuwa ni Dodoma huko huko wakati wa bunge
Kwa kipimo cha dikteta Magufuli, Lisu alikuwa ni msaliti kwa sababu aluenda kinyume chake. Mbona dikteta Magufuli aliliweka wazi kabisa hilo. Alisema kuna mtu amekuwa anampigia Deo kuomba mkataba wa Barrick na Serikali. Huyu ni msaliti, na msaliti ninyi wanajeshi mnafahamu huwa anafanywa nini. Hatakiwi kuishi.Lini alijiona yeye ndio nchi?
Magufuli alisema msaliti wa nchi hapaswi kuishi!
Lisu yeye anasema kwa kauli hiyo ndio sababu akapigwa risasi!
Swali, yeye Lisu alikuwa msaliti?
Tunazungumzia jaribio la dikteta Magufuli la kutaka kumwua Lisu. Hayo mengine, kama una hoja, anzisha mada yako.Chadema yenyewe inaongozwa kidikteta
Nyalandu anadai alishinda nafasi ya makamu Mwenyekiti lakini kura zake akapewa Tundu Lisu
Mbowe peke yake aliamua kumleta Lowassa na Kamati kuu yote ikamgwaya
Speculation!
Adhabu ya kusaliti nchi ni nini?
Yani kupoteza muda mahakamani?
Kina JK au?Damu za watanzania zitawatesa sana.