Hafai kwa sababu ana uwezo wa kuwataja wauaji hadharani?Huyu jamaa hafai kua rais wa JMT. Labda chadema waanzishe cheo kipya cha rais wa mpe lissu lakini kwa JMT hawezi kabisaàaa.
Hawezi kwa views zakoHuyu jamaa hafai kua rais wa JMT. Labda chadema waanzishe cheo kipya cha rais wa mpe lissu lakini kwa JMT hawezi kabisaàaa.
Hakuna mwana CCM ataingia mbinguniNi nyie nyie chadema ndo mlimpiga Lissu risasi. ipo siku itajulikana. Tubuni
Hakuna mwenye haki yakukatisha uhai wa mwenzake mtalipia mtalipaSwali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?
Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
Hakuna mbinguHakuna mwana CCM ataingia mbinguni
Wewe huujui aina ya utawala tulionao? Kwa utawala wa sasa, ukiwa msema ukweli, ukawa mkosoaji wa Rais au Serikali, wewe ni msaliti, wewe unatumiwa na mabeberu, wewe siyo mzalendo. Lakini anayepoteza 1.5 tr ni mzalendo. Anayegawa nyumba za umma kwa ndugu, marafiki na wapenzi, ni mzalendo. Anayetenda kwa kuvunja katiba ni mzalendo!! Huo ndio unafiki mkubwa.Je Lisu ndio aliekuwa analisaliti taifa kwa mujibu wa hayo maelezo hapo juu?
Soma vitabu vya Dini vizuri, Mwenyezi Mungu anaadhibu pia, ...
Yupo wapi sasa kama wewe unajua hajafichwaUna uhakika kafichwa au usha kuwa brainwashed na CCM?
Wewe huujui aina ya utawala tulionao? Kwa utawala wa sasa, ukiwa msema ukweli, ukawa mkosoaji wa Rais au Serikali, wewe ni msaliti, wewe unatumiwa na mabeberu, wewe siyo mzalendo. Lakini anayepoteza 1.5 tr ni mzalendo. Anayegawa nyumba za umma kwa ndugu, marafiki na wapenzi, ni mzalendo. Anayetenda kwa kuvunja katiba ni mzalendo!! Huo ndio unafiki mkubwa.Je Lisi alikuwa anasaliti taifa kama maelezo yake alivyosema
Nataka kudhani kwamba wewe hujawahi kuumwa. Katika terms za kibinadamu kusema hayo unayosema ni kutojua maana halisi ya kuokoa maisha. Hivi huko kwenu hamna dharura? Katika kuokoa maisha ya mtu aliyekuwa taabani kiwango kile angefuata taratibu zipi? Tatizo letu hata Mambo serious tunayafanya siasa.Tatizo taratibu zipo lakini hutaki kuzirejea, matibabu ya nje ya nchi yana taratibu zake mbona hapo unakwepa kueleza? Kama unajiamulia kuondoka nchini kwenda kutibiwa nje ya nchi bila kufuata taratibu, gharamikia matibabu mwenyewe usitafute watu wa kulaumu kwa kulazimisha utaratibu usiokuwepo
Na sio huyo aliye mtaja tuu, hata Ndugai anahusika na mpango mzima wa tukio lile. Hii mabadiliko ya katiba ya juzi ya kinga kuzuia kushtakiwa mpaka spika wa bunge ni muendelezo wa kujiwekea kivuli...
Hapana! Usaliti hauko hivyoJe Lisu alikuwa anaifanyia nchi usaliti kama ilivyoelezwa hapo juu?
Tundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
We kept it for the record hiyo sura yako na roho yako unaificha wapiTundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Mumekosa LA kusema hadi MNA kufuru. Mungu yupi huyo anayetumia risasi kwa binadamu aliye muumba kwa mfano wake?
Mashetani ni hatari sana kuishi nao!