Huyu aachiwe 2028 🤣🤣🤣
 
Kuna tofauti kati mwanaharakati na mwana siasa, activist vs politicians. Neenda akajifunze hao watu ni tofauti sana, hapa Tanzania tuna activists sio wanasiasa tena.
 
Mama alisema yeye ana ngozi ngumu sasa imekuaje ameshindwa kuvumilia spana za Kamanda Lissu.
 
Amka wewe Lisu katiwa Mbaroni utajikojolea 😆😆😆😆
 
Mama alisema yeye ana ngozi ngumu sasa imekuaje ameshindwa kuvumilia spana za Kamanda Lissu.
Matusi hayahusiani na ngozi ngumu,hujiulizi mbona Mbowe na Mnyika na wengine Huwa hawakamatwi isipokuwa huyu mtukutu? Apewe adabu zake.

Bado Slaa na Maandamano yake
 
Mbona Lissu na CDM wanafanya siasa soft sana...

Hivi waliwahi msikiliza Wakajocka au Odinga?

Kama watu yawaitaki CCM hawaitaki...

Sehemu zote zenye resources nchi hii lazima CCM iwape wageni.... sasa Kuna jipya gani mtu akisema? Makosa yalifanywa na Mwinyi, Mkapa na JK... bunduki haizuii ukweli huo.

Suala la Ngorongoro ni kweli kwamba serikal imekosea na inaoosea kuhamisha watu kwenye ardhi yao ya asili kupisha kitu kinachoitwa wawekezaji haiondoi wala haibadilish ukweli huo.

Mageuzi ya kisiasa Tanzania ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya kizaz cha sasa na kijacho.... hili hakuna wa kulizuia..
 
Mageuzi ya kisiasa Tanzania ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya kizaz cha sasa na kijacho.... hili hakuna wa kulizuia[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu nitatazi la kupotea kwa Dalla mtaani baada ya kukamatwa dolla zitarudi mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…