Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleeni kujifariji tu. Upepo wa Lissu si masihara 😂😂😂😂Soweto pale Mbeya walifunga barabara walimzomea Magufuli pia nenda kawaulize hata Leo Kama watarudia lile kosa.wengi wanajutia kile kitendo na waliapa kutorudia na wengi wamerudi CCM
Soweto ndio palikuwa ngome ya wahuni wazomea Magufuli wakiwemo raia wahamiaji haramu wanaokaa eneo like ambao si wazawa wa Mbeya na sio watanzania
Sugu genge lake aliweka mizizi yake ya wahuni Soweto
Weka tume huru na haki muone, kwanini mnakuwa wagumuDuh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Sasa Wewe si Mmoja wa ShogaTutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Leo ndiyo tumeona sura yako halisi
Kumbe na wewe unafikiri kama CCM..!!?Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Huyo ni CHUMA kiboko ya Jiwe.#Niyeyee
Watapandishwa Ndege Halafu Ndiyo WatangazeKwa hali hiyo ni vigumu sana kuiba kura,labda huyo Mkurugenzi atangaze matokei akiwa kwenye Ndege au aende Dar.
hapa mataga umeshapanic 🤣Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
GermanyHuyo ni CHUMA kiboko ya Jiwe.