nazamiaje wakati mie naenda free kama home tu gentlemanJaribu wewe kuzamia kama hujaenda kuolewa Segerea π
Hakika.Lissu akili kubwa sana.
Muulize BashawakoMbowe anaendeleaje huko!
Ma mdogo unasema....huzioni siku zako!Muulize Bashawako
Tayari nimeshakuwin kisaikolojiaMa mdogo unasema....huzioni siku zako!
Sawa lakini huo uhuni huzimika ndani ya siku tu kama moto wa mabua, yupo wapi Magufuli, si mlikuwa mkisema tunaye hadi kiama?Hivi mnafikiri CCM wanajali au Samia anakosa usingizi kwa ajili ya mambo kama haya? Msisahau kwamba CCM hawashindi kwa sababu ya kupigiwa kura nyingi au kuonekana wana mambo yanayowapendeza wananchi.
Mzee Warioba ndiye mzee pekee wa CCM ambaye ana ujasiri wa kuweka maslahi ya nchi mbele. Wengine wote ama ni wanafiki au hawana balls!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Wazee wote muhim na wanaojielewa watembelewe na kupata busara zao juu ya Taifa hili na tunatokaje hapaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mzee hivyo achaguliwe urais? SI atakuwa kama Biden...asahau njia aende msituni?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Wasira kwa sasa akikusikia unamwita mzee atakuroga kama sio kukufungulia kesi, we si unaona hata mwonekano wa nywele amebadilisha. SemaAhahahahaha! Yaani vijana wa ovyo wa Chadema mnachekesha kweli. Kwamba Mzee Wassira hana sifa ya kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kisa mzee lakini Mzee Warioba anayemzidi umri Mzee Wassira eti ana sifa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Mnachekesha kweli!
Mzalendo wa kweli life style yake tu inaoneshaJaji Warioba ni sauti ya Mwalimu Nyerere kwa kiasi fulani. Ni kama baba mdogo wa taifa hivi.
Uliandika ukiwa serious?Wasira kwa sasa akikusikia unamwita mzee atakuroga kama sio kukufungulia kesi, we si unaona hata mwonekano wa nywele amebadilisha. Sema
Bro Wasira atakuelewa
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Siyo kama hili roporopoKwa Faida ya ambao sio watu wa Kanda ya ziwa,
Jaji Warioba anaheshimika sana ,na Kwa Mara, Warioba anachukuliwa kama Nyerere.
1986'sWarioba alikuwa waziri mkuu mwaka gani
Kwa sasa Mzee awashauri vijana wa taifa hili kama hivi itakuwa vyema zaidi.Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania