Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Umenena mkuu, kwa sasa tegemeo letu lisu
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Humjui mwenye historia ya ukichaa kwenye ukoo wake? Njoo maeneo ya Bwanga ukitokea Geita, unakata kulia kuelekea Bukoba, Ila kabla ya kufika eneo linaitwa Mganza Kuna wilaya hapo katikati ulizia wazee watakwambia Nani ana historia hiyo ukoo wao. Hujui ashawahi kuukiri?
 
Umemaliza kazi kiongozi
 
Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Tatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.
 
Kwani Anga la Korona lishagafunguliwa?Si nasikia Madege ya Duniani eti yananyewa na Popo tu huko na Mijusi yanafanyiamo zinaa?
 
Dadeeeki ujumbe wameupata
Tatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.
 
Tatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.
Endelea kukariri wote niwa lumumba
 
Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Wewe tena utaendelea kusubiri sana benchi maana una mawazo ya kijinga ambayo yamekuweka unapostahili...
 
Endeleeni kujidanganyana mtafanya huo upuuzi wenu tuwanyamazie.

Tutaanza nanyi polifisiem then tunafuata kwa mabwana zenu wanaowaagiza
Sory mkuu ni mawazo yangu nionavyo akija mi siko huko hata unanionea bure
 
Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Naomba unitoe kwenye hilo kundi sipo humo wala sihusiki hata tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…