Siku zinaisha yeye wacha aoige za kisayansi,Campaign za mwaka zinaenda kidigitali maana magufuli anapigwa majukwaani alafu akianza kutoa povu anapigwa Kwa press conference.....
Huyu Mzee atachezea makofi ya uso kwelikweli na ameshaanza kucheza Ngoma ya lissu kuanzia yeye pamoja na akina bashiru na polepole
Unataka ashambulie nin? utakuwa na pepo mchafu wewe!Ningekuwa kiziwi nisingekuwa namsikia muda wote akiutumia kulalamika na kushambulia watu.
Hata mimi natamani iwe kama unavyosema, lakini ukweli haitakuwa hivyo. CHADEMA inamnadi Lissu badala ya CHADEMA. CCM wako ktk timu ya kampeni, CHADEMA ni kampeni za Lissu. Hata m/kiti yuko hai anasaka mbinu za kurudi bungeni tu!Campaign za mwaka zinaenda kidigitali maana magufuli anapigwa majukwaani alafu akianza kutoa povu anapigwa Kwa press conference.....
Huyu Mzee atachezea makofi ya uso kwelikweli na ameshaanza kucheza Ngoma ya lissu kuanzia yeye pamoja na akina bashiru na polepole
Si kweli, anasema sana atafanya nini sema huna interest kusikia. O the other hand, hapana, ngoja kwanza aibue madhaifu ya Jiwe and all atrocities commited by him!. Bado, bado lazima watu wawe mind conscious of their surroundings!Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Akajipange upya huyoShida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Hiyo sera itakufikia sangapi nakwakutumia nini ndio maana wanaokopa wanamjua wametengeneza vikwazo iliapambane navyo ilikumpunguza kasi lakini niwaambie ccm haipo kwenye myoyo yawatu hatakama wamzibe mdomo kabisa t lisu ikulu inamuitaShida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Kama haya ndio kaongea mgombea urais mbele ya wahariri, basi hakuna haja ya vyombo vya habari kumfanyia coverage.
Bora samadi kitakuwa kimejaa kamasi hichoKama mpaka sasa hujawahi kusikia atafanya nini basi we haupo Tanzania au kichwani hamna ubongo kumejaa samadi
Hakuwafukuza lisuAliyewafukuza TBC ndiye yuleyule analilia TBC warudi? Kweli vituko havina jina
Una kidonda cha ubongo kisichopona.Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Ndugu, hivi hii comment yako ni ya kiubinadamu kweli? Siasa kando, hata kama mtu haumpendi, weka hisia zako mfukoni.. Omba Mungu yasikukute... AmenHana jipya. Mguu haukunji so what?
Maneno ya kikakamavu sana !" Sheria inasema mawakala watapewa nakala za matokeo lakini mwaka huu Tume imekuja na Kanuni kuwa mawakala watapewa nakala kama zipo. Huko ni kutafuta ugomvi na wataupata! "
LISSU a.k.a Malalaiko FC Ila Uzuri Keshajua Hawezi Kuishinda CCM hata Siku Moja CHADEMA watashinda Uchaguzi Siku Tukianza Kupiga Kura Kwa Simuu hahahaLissu hawezi kuchambua au kueleza mambo pasina kulaumu au kumshambulia mtu,hivyo ndivyo alivyo na uzuri au ubaya kuna watu wanapenda hiyo hali ya kusikia malalamiko muda wote kuliko kusikia ni nini kifanyike.
Mkuu, mbona kishaongea mara nyingi tu.
Bima ya afya kwa kila mtanzania, haki kwa wanfanyakazi na wafanyabiashara, kuimarisha kilimo na kuwapa uhuru wakulima kutafuta masoko yao wenyewe, kuimarisha miundombinu. sekta za Madini na gas kuimarishwa na kuwanemesha wakazi wa maeneo kwanza nk. n.k.
Tofauti ni kuwa JPM yeye anaongelea specifics ... nitajenga barabara ya Nyahungwe, daraja fulani n.k
Wanafunzi sio wapiga kura afu wasukuma hawanaga akili japo ni ndugu zangu ila chenga sana ni lazima kujae kwa sababu ya ukabilaPesa ya kampeni imekata halafu mahudhurio ya mtwara na Zanzibar na Dar yamemkatisha tamaa sana
Na alichoona ya Mwanza ya Magufuli kajiona hamna kitu