mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Bwashee mbona umenywea?Ngoja tuone!
Nasubiri kupata somo la sheria kutoka kwa Lisu vs Dr Mahera.
Na ndilo moja ya agizo lakeAnatafuta triggering factor...ya kuanzisha vurugu. Yawezekana ni moja ya kazi alizopewa, maana inasemwa si mwananchi mwenzetu yule. Fuatilieni ukweli wa hili.
Kwa Sasa hakuna cha aliyeshika mpini wala gongo..ni vitasa tu vya machoni!Anapambana na aliyeshika mpini. Busara ilikuwa ni chama chake kitoe tamko siyo yeye binafsi.
Alisikika Jeni Mura akisema haya!Anachokitafuta na Amsterdam wake wanakaribia kukipata. Niliwahi kusema Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia ni ZERO. No wonder anatembea kwa kuchechemea kwa kutofunzwa na ***** na kufunzwa na ulimwengu. Sasa acha ulimwengu uendelee kumfundisha zaidi.
Sijui na leo watatumia bodaboda kupeleka hilo zuio kwa muhusika?This orchestrated 'rough justice' is yet another proof of a discredited NEC and a compromised electoral system. The NEC’s decision is totally unacceptable. I'll not be intimidated or silenced. The campaign will continue on Sunday as scheduled.
#SasaBasi #TunduLissu2020 https://t.co/QZEZMnTzd3
Lissu rais ajaye.Ndio asije akawekewa Polonium au Novichok kama Nalvany
Mulitaka watu wasuse kama serekali za mitaa na uchaguzi wa marejeo ya jecha sahauni munavotaka sasa twataka tumezaliwa siku moja tutakufa siku mojaKama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.
Kubahatisha hakufai
Mtajinyea mwaka huu,tunataka kiongozi jasiri kama huyu.Naukosa mwisho mwema wa uchaguzi! Lakini Mungu mtenda muujiza, Atawatetea Watanzania na kila ubaya usio asili wa mgombea huyu!
Yeye ndio aliefungiwaAnapambana na aliyeshika mpini. Busara ilikuwa ni chama chake kitoe tamko siyo yeye binafsi.
Huyu ayo tv anafata nn wkt ni kaoga hata kurusha habar za lissuSalaam Wakuu,
Muda wowote kuanzia sasa, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa anaongea na Waandishi wa Habari Nyumbani kwake Tegeta.
Nitawaletea kila kinachojiri Kutokea hapa Tegeta.
======
UPDATES:
1654HRS: Waandishi wa Habari wameshafika eneo la tukio.
View attachment 1588248
Zikitokea vurugu hazitojua huyu nichadema wa ACT, wala ccm. Time huru ndio muokozi hawazi kelele.Anatafuta triggering factor...ya kuanzisha vurugu. Yawezekana ni moja ya kazi alizopewa, maana inasemwa si mwananchi mwenzetu yule. Fuatilieni ukweli wa hili.
Mkuu, hivi unajua kuwa Chama ndicho kikubwa kuliko huyo mgombea,na Chama ndio kilichobeba dhamana yake?Akate rufaa kwa lipi?
1. Hakuwahi kuletewa malalamiko juu yake ili yasikilizwe.
2. Mbili hakuwahi kusikilizwa.
3. Tatu, hata hayo maamuzi yaliyofikiwa hayajaekwa kwake.
Inaonekana unapenda sana kuwa mtu wa ndiy mzee