Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Anachokitafuta na Amsterdam wake wanakaribia kukipata. Niliwahi kusema Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia ni ZERO. No wonder anatembea kwa kuchechemea kwa kutofunzwa na ***** na kufunzwa na ulimwengu. Sasa acha ulimwengu uendelee kumfundisha zaidi.
Alisikika Jeni Mura akisema haya!
 
This orchestrated 'rough justice' is yet another proof of a discredited NEC and a compromised electoral system. The NEC’s decision is totally unacceptable. I'll not be intimidated or silenced. The campaign will continue on Sunday as scheduled.

#SasaBasi #TunduLissu2020 https://t.co/QZEZMnTzd3
Sijui na leo watatumia bodaboda kupeleka hilo zuio kwa muhusika?
 
Kama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.

Kubahatisha hakufai
Mulitaka watu wasuse kama serekali za mitaa na uchaguzi wa marejeo ya jecha sahauni munavotaka sasa twataka tumezaliwa siku moja tutakufa siku moja

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,

Muda wowote kuanzia sasa, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa anaongea na Waandishi wa Habari Nyumbani kwake Tegeta.

Nitawaletea kila kinachojiri Kutokea hapa Tegeta.

======

UPDATES:

1654HRS: Waandishi wa Habari wameshafika eneo la tukio.
View attachment 1588248
Huyu ayo tv anafata nn wkt ni kaoga hata kurusha habar za lissu
 
Anatafuta triggering factor...ya kuanzisha vurugu. Yawezekana ni moja ya kazi alizopewa, maana inasemwa si mwananchi mwenzetu yule. Fuatilieni ukweli wa hili.
Zikitokea vurugu hazitojua huyu nichadema wa ACT, wala ccm. Time huru ndio muokozi hawazi kelele.
 
Akate rufaa kwa lipi?
1. Hakuwahi kuletewa malalamiko juu yake ili yasikilizwe.
2. Mbili hakuwahi kusikilizwa.
3. Tatu, hata hayo maamuzi yaliyofikiwa hayajaekwa kwake.
Inaonekana unapenda sana kuwa mtu wa ndiy mzee
Mkuu, hivi unajua kuwa Chama ndicho kikubwa kuliko huyo mgombea,na Chama ndio kilichobeba dhamana yake?

Sasa huoni kwamba, Chama kuandikiwa juu ya kulalamikiwa Kwa mgombea ndio sahihi mkuu!!
 
Back
Top Bottom