Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Upuuzi huu. THAT WILL NEVER HAPPEN. IKITOKEA MIMI NTAENDA KUOMBA URAIA UKRAINE.Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Hivi kuna watu bado wanaongea lugha hizi za kejeli. Wenzako wametokomea wapi?Ameshakuwa raia wa ubelgiji, haruhusiwi kugombea huku, ndio maana analia Kila siku katiba ibadilishwe ili imruhusu kugombea, anataka ale vya huku na bya ubelgiji.
Na hayo mavyuma, hataweza mikiki mikiki ya uraisi, yatamtoboa mwili yatokeze nje
Ni kwa sababu tu hajawahi kuwa katika nafasi kama za hao wengine, ila jamaa ana mihemuko na mpenda ligi.Ubishi upi sasa toa mifano.
Lissu na Mwigulu au Lissu na Jpm nani mbishi tena ubishi unaoliingiza taifa gizani.
Ilianza kwa Slaa kuwa ni chaguo la Mungu ikaja kwa Lowassa na sasa bado ipo kwa Lissu, naye atasahaulika na kuja chaguo lengine la Mungu.Na huyu Lissu ndiye Rais atakayeleta mabadiliko yote tuyatakayo, tuzidi kumuombea maisha marefu tu.
Mpaka dakika hii tunavyo zungumza, lissu ni rais wa mabaga fresh pale manzese.
Waziri muhimu wa nini? Labda wampe katiba na sheriaMi namuona ni Waziri muhimu ajaye ktk wizara muhimu atakayesaidia sana Nchi kupiga hatua.
Ajaye baada ya sa100 ni............, Muda ukifika ntamtaja.
Ameeeen
Yes.Waziri muhimu wa nini? Labda wampe katiba na sheria
Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazbaMkuu samahani ,hivi alipokuwa rais wa TLS ulikuwa bado hujazaliwa ? Kama ulikuwepo utaweza nikumbusha alipitia figisu zipi kabla ya uchaguzi kufanyika wa TLS ?
Kama huyu wa sasa hivi kaweza, hata panya Road anaweza pia.Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazba
Rais Samia Ni Zaid ya kiongozi,Ni Zaid ya Rais, Ni Zaid ya mpambanaji, Huyu Ni kiongozi aliyezaliwa akiwa kiongozi TayariKama huyu wa sasa hivi kaweza, hata panya Road anaweza pia.
Hata wewe technically unaweza kuwa Rais kama unakidhi vigezo vya kikatiba. Ila uRais wa Tanzania siyo kitu cha kupania sana, Mungu akisema ndiyo kweli utapata.Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Akiwa Rais huyu buana.... watanzania wote watakuwa mashoga!Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Si kwa Tanzania hii ambayo raia hata matatizo yao hawayajui na hata wakiyajua unasikia tu wanalalamika mbona mbowe hajasema kitu mbona zitto kakaa kimya.Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Magufuli alikuwa na busara za uongozi?Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Yes everything is possible and nothing is impossible under the sun!. Karibu bandiko hili Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hiiNingeshangaa Pascal kama ungepinga na hili.
Unga hoja ila.......hapo kwenye ila pia panawezekana
Mkuu Luka, naunga mkono hoja, kuhusu yote uliyoeleza, sasa kama kulijitojeza mtu mwenye tabia kama hizo na akawa rais wa JMT, then why not Lissu?.Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule,