Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awasili salama Dar es Salaam, atulia kwake kwa Mapumziko

Hivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa?
Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM
Bado sana ndo kwanza mziki unaanza msichoke kukata mauno
 
Huyu anataka kutuaminisha kuwa wazungu wanatuwazia mema saana kuliko waafrica wenzetu.
Lissu kibaraka mkubwa wa white race to dominate African tumkatae kwa nguvu zote
 
Huyu anataka kutuaminisha kuwa wazungu wanatuwazia mema saana kuliko waafrica wenzetu.
Lissu kibaraka mkubwa wa white race to dominate African tumkatae kwa nguvu zote
Kawashauri hayo Nzi wenzio wa kipundupindu kwenye group lenu.
 
Hivi kuna ugumu gani jamaa zetu wa CCM kutamka wazi 'IMEKWISHA' na kukata roho kisiasa?
Mbona hilo lingetupunguzia malumbano yasiyo sababu hadi mataifa makubwa yanatujadili?
Kwaheri ukoloni Kwaheri CCM

Ndoto zenu hizi!!!!.. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nawasubiri mbili nane. popukoni nimekwisha kununua.. ila mutaliaaaaa.. mukija kumbuka.. kwamba yale mwahesabu watu.. ilikuwa utaliiii... πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Salary Slip Erythrocyte Chakaza na wenzenu
Sale za ushindi bado nitawatumia.. munataka njano au kujani au muchanganyo? πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ’ƒπŸ½πŸ€©
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana....Nature bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Ccm inatumia nguvu za dolA kubaki madarakani

Sasa kudanganya kutasaidia nini!!! Inaonyesha.. umeona huyo munamufata bila breki.. siyo ulidhani.. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ pole..
No ya dola ni fata sheria, kanuni na siwo maagizo ya wasio wa nchi hii..

Ila mwaka huu.. bora mujiunge tu na Jembe Magufuli mapemaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…