Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Kufumbia macho makosa ya kisheria nalo ni kosa. Utaruhusu hilo kosa liwe sheriaMimi naona angepotezea tu kikajulikane huko field mbivu na mbichi
WatajeMbona wenzie wamepeleka mapingamizi kimya kimya!
Huyu Lisu anapenda kiki!
Kuna watu walitafuta daftari la mpiga kura waka anza kukopi majina na kuiba sahihi zao.Lipumba nini au Jiwe?
Waehama magogoni, sasa hivi wapo chamwinoDingi huko magogoni anachungulia tu na kuweweseka
Hadi saa saba kasoro ilikuwa hakuna pingamizi. Labda walikuwa wana tegana.Ukiona hivyo,uje nae wamemuwekea pingamizi hivyo hii ni hatua mojawapo ya kujihami.
Wakitaka kumuengua,basi nao hao wengine(hasa Mfalme) nao waenguliwe na hapo ndio patakuwa pagumu na kwahiyo mchezo utaishia hapo.