Mabwana zake wapi wale wanaokutia vidole huko nyuma auKakuua wewe? Narudia tena shujaa pekee ni JPM. Huyo mnayemshabikia atashindwa kwa mbali na atakimbilia tena kwa mabwana zake
Hahaha wapi hiyo mkuu?Naona CCM wanafurahia pingamizi la mgombea wao Huku Dar
KigamboniHahaha wapi hiyo mkuu?
Haahaa mmeanza kulialia eeh...Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Hapana. John ndo great thinker.Alafu unataka tukuone nawewe ni moja ya great thinker hapa Jf?
Sheria inasemaje ikiwa huyo rais anayetetea kiti chake atakosea kujaza fomu?Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Hahaha Meko ana hali mbaya sana kwa kweliKigamboni
Ndiyo maana yakeko suala hili litamzuia kugombea Urais wa JMT??
TL tunaomba jibu tafadhaliSheria inasemaje ikiwa huyo rais anayetetea kiti chake atakosea kujaza fomu?
Ondolewa kabisa kwenye orodha ya wagombea.Sheria inasemaje ikiwa huyo rais anayetetea kiti chake atakosea kujaza fomu?
Haahaa ccm mmeanza kulia na badoLissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Ni dhahiri kuwa hoja zimewakaukia ndugu zangu.Hivi kwa akili zenu mnadhani kwamba Mgombea wa CCM ataenguliwa!
Ongeza sauti kidogoOndolewa kabisa kwenye orodha ya wagombea.
Ingetokea Lissu kakosea unadhani ccm wangepeleka pingamizi kimya kimya?Mbona wenzie wamepeleka mapingamizi kimya kimya!
Huyu Lisu anapenda kiki!
mbona hao 22 wenzao wa upinzani walienguliwa vilevile na wakabaki peke yao na kupitishwa bila kupingwa!Tukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!
Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.
Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?
Kama wewe una mabwana zako ambao ukishindwa unawakimbilia, basi kila mtu siyo wewe!Kakuua wewe? Narudia tena shujaa pekee ni JPM. Huyo mnayemshabikia atashindwa kwa mbali na atakimbilia tena kwa mabwana zake
Sio kiboko labda ....anaweza kushindana kidogo!Sasa hapa CCM itabidi wamuite Mtemi Chenge. Maana la sivyo wale vilaza wakiongonzwa na mwenyekiti wao watachanganyikiwa. Chenge pekee ndo kiboko ya Lissu.
Kama wanapata maumivu makali JPM kuondolewa basi wabunge 22 warejeshwe.mbona hao 22 wenzao wa upinzani walienguliwa vilevile na wakabaki peke yao na kupitishwa bila kupingwa!
What goes around comes around