Wenzenu wako field saa hii wana majimbo 22 nyie mnahangaika na ujinga eti pingamizi?Tulia dawa ikuingie vizuri. Mtajua hamjui mwaka huu
Haahaa wabunge was kusaidiwa na pccb na polis kuengua wagombea wa upinzani?Tukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!
Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.
Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?
Kama Baba yake TL yupo aje nimpe binti yangu kapata Division one labda anaweza zaa naye mtoto kama TLHuyo ndio Tundu Lisu nampa Hongera Mama yake.
Polee mwana Lumumba. Naona spana za Lissu zimekuharibu kabisa .Subiri baada ya oktoba utaambatana na Lisu kukimbilia kwa yulee beberu wenu
Sio tatizo tatizo ni kwamba yamepatikana kiharamia!Wenzenu wako field saa hii wana majimbo 22 nyie mnahangaika na ujinga eti pingamizi?
Umemaliza. AMENUmezoea status quo, ndo maana Lisu anakusuprise! Kwa taarifa yako; huwezi kufanya mambo yale yale kwa njia zile zile alafu ukapata matokeo tofauti, hata kama unatarajia matokeo tofauti! Zama zimebadilika, Wewe na mboga mboga yenu mnang’ang’ania ujima!
Mkuu majimbo gani? Hayo ya kusaidiwa na polis na pccb kuondoa wagombea wa upinzani kwenye ofisi wakati wakirejesha fomu?Wenzenu wako field saa hii wana majimbo 22 nyie mnahangaika na ujinga eti pingamizi?
Sio warejeshwe, hao waliokatwa wapewe ubunge, ndipo huyu arudishwe kwa mashariti kuwa akirudishwa akashinda basi Lisu awe waziri Mkuu. Hapo lazima biashara ya maana ifanyike!Kama wanapata maumivu makali JPM kuondolewa basi wabunge 22 warejeshwe.
We ng'ombe endelea kupiga kelele mwenzako mpaka sasa anapokea $50,000 kila mwezi km manunuzi ya ndege tuliyofanya ndio maana ndege zimenunuliwa kwa usiri mkubwa na hakuna mtu anaeruhusiwa kuhoji......Subiri baada ya oktoba utaambatana na Lisu kukimbilia kwa yulee beberu wenu
Hahaaaaaaa kweli Chadema munapenda kujifurahisha kabisa.Haya wale mliokuwa mnasema Lissu kakosea kutokupeleka majina ya wadhamini kwa wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo.
View attachment 1548879
Huyo ndio Tundu Lisu nampa Hongera Mama yake.
Me sijui kwanini hawa jamaa hawana akili au sisi tumezaliwa Dunia nyingine ?Mkuu majimbo gani? Hayo ya kusaidiwa na polis na pccb kuondoa wagombea wa upinzani kwenye ofisi wakati wakirejesha fomu?
Ndio tatizo la nchi hii mtu akionekana ni mdadisi anaonekana ni kero?!! Utiifu wa watu wengi ni wa ki nafiki!! Tatizo la lisu ana akili za mabeberu, hana unafiki, anachokiamini ndio hicho, na ndio alivyozaliwa,Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Lissu is not fit for office
Lissu ndo anapaswa kuwa rais, anapenda haki na kufuata sheria.sio jpm kuvunja sheria kazoeaNakubaliana na wewe, potezea tu maana hawawezi kumkata. Yaani angepotezea kwa wote
Kingine kipi tofauti na 16 bulletsMama kajua kuzaa
Hayupo mwana CCM wanamna hiyo hapa TZ labda aliwahi kuwepo nana yupo Chadema act cufflinks etc.Na kuna wana ccm wengi wanashangilia sana kwa TL kumuwekea pingamizi mgombea wao na wanatamani aenguliwe