Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Nikuulize wewe unayejazwa ujinga na mgojnwa wa akili.watu wametulia tu hawana time nae,si kuna kitu mnakitaka? Mtakipata soon
Acha kutishia watu jinga na mpumbavu ww!
Eti "kuna kitu mnakitafuta, mtakipata"

Huu upumbavu huu, hoja hujibiwa kwa hoja, jinai mtu hupelekwa polisi kisha mahakamani, unatishia tishia watu kumbe unalala sebuleni kwa shemji yako
 
Yaani ukiingia hukunjf ndio kuna mwamko wa siasa ila mitaani na kwengine watu wako bize na maisha. Sikuingia humu kama wiki na maisha ya watu yanasonga bila kelele za siasa. Humu jf ni kama nchi nyingine hivi..
 
Huyu Lisu Lipumba ni PhD na Profesa na JPM ni PhD yeye na mimi tupo sawa tu MSc na LLM aache kujifanya genius
 
Acha kutishia watu jinga na mpumbavu ww!
Eti "kuna kitu mnakitafuta, mtakipata"

Huu upumbavu huu, hoja hujibiwa kwa hoja, jinai mtu hupelekwa polisi kisha mahakamani, unatishia tishia watu kumbe unalala sebuleni kwa shemji yako
Nisingekuwa na jeuri ya kujibu kama ningekuwa nalala kwa shemeji.jeuri ninayo na uwezo ninao,na sijatishia mtu,nasema ukweli.
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Mbona tayari jamaa ana trend kinoma?hivi ana haja ya kiki?
 
Lissu kafadhaishwa na navyopuuzwa. Alitegemea akirudi "ataghasiwa" ili apate huruma ila wapi. Si polisi wala serikali, hawana taimu nae na kikubwa zaidi wananchi wamempuuza.
these are last kicks of the dying horse....
 
Huyo
tapatalk_1598459276888.jpeg
 
Na Siku zote Mwanadamu kama huyu aliye Mkweli, Muwazi, mpenda Haki na si Mnafiki huchukiwa na Watu ila hupendwa sana tu na Mungu / Allah.
Kiongozi uko vizuri kwa kuwa straight bila kuvuta ngozi kwako. Kiukweli kama tume ilipitisha tu form kwa sababu fulani au kuna makosa ya kiufundi kwenye taratibu za uteuzi, ngoja sheria ichukue mkondo wake. Hii itafanya watu waheshimiane.
 
Moja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.

Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.

Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Ndugu sio mbaya kuendelea kutafuta pa kuegemea. AMEN
 
Utaratibu wa mapingamizi ni kwamba MUWEKA pingamizi na MUWEKEWA pingamizi lazima wakutanishwe na Tume ya Uchaguzi ili aliyewekewa pingamizi aweze kujibu na kwa mujibu ya sheria anaeruhusiwa kujibu pingamizi ni mgombea mwenyewe hakuna anaeruhusiwa kujibu kwa niaba.
Je kama mgombea hajui sheria itakuaje
 
Kwa werevu wa Lissu; majibu ya CCM na CUF yanaweza kuwatega mbele ya safari.

Hii ndiyo faida ya mgombea kuzijua sheria za uchaguzi nje ndani .
 
Lissu anawatemesha MATAGA ndoano,
Lissu anakimbiza mwizi wa trillion zetu.
Magufuli umetuita watanzania majina yote ya zarau na matusi juu. Vipi tena kwenye form.?!
Si muweza wa yote, usieshindwa kwa lolote wewe, Jesus wa Lumumba ?!

#NIYEYE #LISSURAIS2020
 
Back
Top Bottom