Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Za Jioni wanachama wa JamiiForums,

Najaribu kufikiria kitu kitakachotokea ikiwa Jaji Kaijage aamue kukomaa kweli kweli na kumuengua Rais Magufuli kuwa mgombea wa Urais kupitia CCM kufuatia pingamizi lililowekwa na Tundu Lissu.

Waweza kuja na mawazo yako ili tujifunze.

Yote kwa yote Tundu Lissu ametufumbua macho watanzania, nadhani hata Rais Magufuli mwenyewe kastuka sana na kuingiwa na woga.

Muda utaamua.
Ataingia kwenye vitabu vya historia na ataimbwa vizazi na vizazi.

Kuna watu wanakutanaga na life time opportunities lakini kamwe hawazitumii.

Kaijage please! weka legacy mzee wangu maana dunia tunapita tu hii,waaachie wajukuu na wanao cha kujivunia please..!!
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Delete ccm Oct 28
 
Uzuri wa Lissu watu wengi bado hawajamuelewa yeye siku zote uwa anapenda haki, sheria ifuatwe na haki itendeke.

Ujanja ujanja kwake no Ni kusimamia ukweli.
Muogope sana mtu anayeishi kwa kutegemea kuonewa huruma. Huyu hana chochote cha maana ila anatafuta kuzungumziwa tu na unaweza muuliza sababu za pingamizi lake akakwambia anapigania uhuru wa vyombo vya habari.
 
Ataingia kwenye vitabu vya historia na ataimbwa vizazi na vizazi.

Kuna watu wanakutanaga na life time opportunities lakini kamwe hawazitumii.

Kaijage please! weka legacy mzee wangu maana dunia tunapita tu hii,waaachie wajukuu na wanao cha kujivunia please..!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah this is future impossible tense.
 
Najaribu kutafuta clip za alichokisema Lissu leo hii kuhusu kuwawekea pingamizi wagombea wenzake kwenye mitandao mbalimbali lakini zinakuwa tabu kupatikana na zinazopatikana ama ziko nusunusu huku zingine zikiwa zimeondolewa mfano facebook.

Je, tatizo hili liko kwangu tu au na kwa wengine?

Kama liko na kwa wengi, je tatizo ni nini?

Nawaza!!

Update:
Hatimae nimepata link kutoka kwa Hilda Newton kwenye akaunti yake ya Twitter

Ni hii:

https://t.co/l1bisaYy2X?amp=1
 
Ask any political advisor he will tell you that Lisu is wrong when election is near you highly need support from all parties including ruling party members
 
Za Jioni wanachama wa JamiiForums,

Najaribu kufikiria kitu kitakachotokea ikiwa Jaji Kaijage aamue kukomaa kweli kweli na kumuengua Rais Magufuli kuwa mgombea wa Urais kupitia CCM kufuatia pingamizi lililowekwa na Tundu Lissu.

Waweza kuja na mawazo yako ili tujifunze.

Yote kwa yote Tundu Lissu ametufumbua macho watanzania, nadhani hata Rais Magufuli mwenyewe kastuka sana na kuingiwa na woga.

Muda utaamua.
Mkuu, Rais wa nchi ndiye kiongozi wa taasisi nyeti ya uraisi. Nyuma yake ana usaidizi wa mwanasheria mkuu na hata wizara ambayo inahusika na mambo ya sheria.

Sidhani kama wateule wake wote watakuwa ni wazembe kiasi cha kuweza kufanya makosa ambayo yatapelekea bosi wao kuwekewa mapingamizi yenye dosari kubwa za kisheria. Kama likitokea jambo hilo, litahesabika kama hujuma kwake.

Ole itakuwa ni kwa Mwigulu, na kwa wasaidizi wengine. Kwa maana watashukiwa kama radi.
 
Najaribu kutafuta clip za alichokisema Lissu leo hii kuhusu kuwawekea pingamizo wagombea wenzake kwenye mitandaoni mbalimbali lakini zinakuwa tabu kupatikana, na zinazopatikana, ama ziko nusunusu huku zingine zikiwa zimeondolewa mfano facebook.

Je,tatizo hili liko kwangu tu au na kwa wengine?

Kama liko kwa wengi,je tatizo ni nini?

Nawaza!!
Nenda kwa kigogo 2014 Twitter Kuna moja anayo iko poa aneshare
 
Najaribu kutafuta clip za alichokisema Lissu leo hii kuhusu kuwawekea pingamizo wagombea wenzake kwenye mitandaoni mbalimbali lakini zinakuwa tabu kupatikana, na zinazopatikana, ama ziko nusunusu huku zingine zikiwa zimeondolewa mfano facebook.

Je,tatizo hili liko kwangu tu au na kwa wengine?

Kama liko kwa wengi,je tatizo ni nini?

Nawaza!!
hata mimi, hazipatikani. Makene mwenye namba yake amwambie atuwekee. Lisu atawasumbua sana!
 
Back
Top Bottom