monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Kumekucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa alikuwa akijua kutafuta political support from enemies and all major political opposition and CCM dissatisfied members to give him votes that is why he got six milion votesKuna uadui mkubwa zaidi ya kupigwa risasi hadharani?
Afanane na wenzake ili iweje?Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Lissu ndiye wa kuhurumiwa
Wasi wasi wangu ni ikifika zamu ya wanaolia kushangilia.Subiri mapingamizi bwashee. Utamu unakuja kwenye kiingereza
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Alama zipi? Mtaani wote ni JPM.Wewe jipe moyo tu,ukija kuhamaki Mushakuwa wapinzani.Soma alama za nyakati
Huo utofauti ndio unamfanya apendwe kuliko hao wengine woteWatu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
HUYU ADVOCATE LISSU NI NEXT LEVEL AISEE.Ni kwamba haiwezekani kumuengua, lakin Lissu katoa funzo kwa JPM kwamba asijifanye mjuaji.
Nani mteule wa Mungu? Lissu ama Magufuli?Mteulu wa Mungu huyo kama ambavyo tumekuwa tukisema humu kila siku.
Kama hakukizi vigezo ni lazima aenguliwe hakuna namna.Za Jioni wanachama wa JamiiForums,
Najaribu kufikiria kitu kitakachotokea ikiwa Jaji Kaijage aamue kukomaa kweli kweli na kumuengua Rais Magufuli kuwa mgombea wa Urais kupitia CCM kufuatia pingamizi lililowekwa na Tundu Lissu.
Waweza kuja na mawazo yako ili tujifunze.
Yote kwa yote Tundu Lissu ametufumbua macho watanzania, nadhani hata Rais Magufuli mwenyewe kastuka sana na kuingiwa na woga.
Muda utaamua.
Yote sawa ili mradi Sheria ifuate mkondo.Angewekewa pingamizi Lissu kungekuwa na povu humu jf kwamba wanamwogopa, leo Lissu kaweka pingamizi anaonekana shujaa. Subirini kidogo mtakuja kulialia Tena .
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kweli, shoga mgombea urais pekee duniani.HUYU ADVOCATE LISSU NI NEXT LEVEL AISEE.