Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Unaogopa Baba la Baba kajaza maujinga kwenye fomu zake? /subirini sindano iwaingie. Nyie si mmekosa mahali pa kumkamatia? Nasikia kule Mara kuna watu walirudisha fomu 24/08/2020 badala ya jana..
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
kuna mtu katafuta kiki for 5 bloody years.... Lissu kaikamata nchi ndani ya mwezi mmoja tu watu tayari jamba-jamba.
ndio mjue hizo SGR & Stiegler's Gorge zenu Lissu akiamua kuzijenga hawezi kuchukua miaka yote 15 ambayo JPM anahitaji.

mwacheni mwanaume wa ukweli awanyooshe, mlizoea vya kunyonga shubaaamit!
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Una uhakika ya kwamba haujachanganyikiwa ndugu mjumbe?😂😂😂😂
 
..jiwe asingetuma wale watu haya mambo yasingetokea.

..anayepaswa kulaumiwa ni jiwe, siyo lissu ambaye ni victim.
Kilichotokea kimetokea nani kafanya binafsi sijui. Muhimu kwa sasa ni Lissu akamilishe matibabu yake ya kiakili ili aweze endelea na maisha yake without having to live deal mental torture on daily basis.
 
..jiwe asingetuma wale watu haya mambo yasingetokea.

..anayepaswa kulaumiwa ni jiwe, siyo lissu ambaye ni victim.

Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
 
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma

Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020

UPDATE:-

Lissu - Tupo Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Watch this space!
View attachment 1548741
Mecco lazima atemeshwe MICHEMSHO YA CHAMWINO.
 
Wakati Lissu ameweka wazi kuwa ameweka pingamizi/mapingamizi, naomba nitabiri tu kuwa kitachotokea katika kuamua juu ya mapingamizi hayo, ni mapingamizi hayo ya Lissu na ya wagombea wengine(kama yatakuwepo), yote yatatupwa.

Lissu ni kioona mbali na anajua afanye nini katika wakati sahihi.

Mshindi hapa atakuwa ni nani,nakuachia msomaji.
Alisema endapo atawekewa mapingamizi nayeye ataweka mapingamizi napenda kula ugali na mboga
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Uko sahihi nchi hi bila Kiki hatuendi hata Mzee baba na wafuasi wake wote huwa wanatafuta Kiki tu maana hata ukiangalia tv zote zipo kwao
 
Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Siyo kuwa anafanya yote ambayo ni haki yake katika mazingira magumu kwa sababu ya wachawi nyie?
 
Back
Top Bottom