Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hakuna mtu mpumbavu kama Magufuli, naye akafa kifo cha mpumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmefeli mission zenu za kumuondoa duniani!!Haya
Uzuri kasema alifikishwa Central Police akiwa na Naibu balozi wa Ujerumani
Kama amedanganya ni lazima polisi watamkamata kwa kosa la Uchochezi
Duh kama aliosema ni kweli basi Hayati Magufuli alikuwa na roho mbaya sanaKama mikutano ya hadhara ni fursa ya kufitinisha na kuchafua watu tunahaja ya kuangalia. Ila pia ni vizuri kuwapa fursa watu kutema sumu
===
Tundu Lissu amesema alirejea Tanzania mwaka 2020 kwa ajili ya uchaguzi na alilazimika kuondoka tena mwaka huo kwa sababu mtesi wake alitoa amri ashughulikiwe tena bila kukosea shabaha. Tundu Lissu ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa alishambuliwa kwa risasi 16 siku ya Septemba 7, mwaka 2017 na kuondoka nchini kwa sababu ya matibabu.
Lissu amesema baada ya kupewa taarifa kuwa anatafutwa ili auawe mara baada ya uchaguzi, Oktoba 31, 2020 alijificha. Baadae alipata taarifa kuwa maficho yake yamejulikana na akashauriwa akimbie ndipo alipowasiliana na balozi wa Ujerumani ili kunusuru nafsi yake.
Alipofika katika Ubalozi wa Ujerumani, kabla ya kuruhusiwa kuingia magari matatu yalifika katika ubalozi na kutaka kumchukua kumpeleka kituo cha polisi. Lissu alibisha kwa kutaka kujua kosa lake na sababu ya kupelekwa kituoni.
Wakati wametaka kumuingiza kwenye gari, Naibu Balozi wa Ujerumani alitoka na kuwahoji waliokuwa wanataka kumchukua Lissu. Naibu balozi aliomba kama wanaweza kwenda na Lisu kwenye mahojiano ambapo waliotaka kumchukua walikubali, hivyo Naibu Balozi na Polisi na Lissu walienda wote kituoni na Naibu balozi aliuliza kuhusu muda watakao muhoji na kusubiri ili wakimaliza waondoke nae.
Baada ya majibizano, Naibu balozi alimuambia Lissu kuwa nchi hii sio salama hivyo wakampa makazi katika makazi ya ubalozi wa ujerumani. Alikaa hapo kwa siku nane akisaidiwa kupata vitu vyote vya safari ikiwemo Passport na VISA. Siku husika ya safari Naibu Balozi alimsindikiza Lissu hadi kwenye ndege ili kwenda Ujerumani kujificha
View attachment 2508265
View attachment 2508321
View attachment 2508326
View attachment 2508335
View attachment 2508336
Yea! Mungu alimuuua huyu mkuuHamchafui Lucifer John magufuli ndio maana alikufa kijinga sana kama kuku wa kideri! UOVU ulikithiri Mungu akawa hana option isipokuwa kumuua tu! Sasa bahari imetulia!
Sent from my Nokia G21 using JamiiForums mobile app
Polisi wakanushe kama asemayo hayana ukweli.Makubwa sana haya, asije kuwa anamchafua mwendazake
Ukweli lazima usemwe ili makosa ya aina ile yasijirudie.Hili ndio lengo la hayo maridhiano, kupambana na mwendazake.
100%✓Kwa maana hiyo asipokwamatwa tuamini kuwa huo ndio ukweli wenyewe.
Hata wahusika wakipatikana bado watadai walitumwa na jiwe.
Tunahitaji sera saidizi za maendeleo wala hatuhitaji kujua maovu ya marehemu
Nakuunga mkono kwa hili.Unaweza kumchafua mfu? Ili akusaidie nini? Anaelezea Haki halisi na ikibidi aandike Kitabu kabisa
Karne ya 21 unaongelea ujinga wa Maji Maji! Dah!Dawa ya kuzuia risasi isisababishe madhara, wanazo sana waganga wa kigoma, na baadhi ya waganga wa nje ya kigoma huenda kununua hizo dawa za jadi huko.