Tundu Lissu: Baada ya uchaguzi nilitakiwa kushughulikiwa, amri ilisema wasikosee shabaha

Tundu Lissu: Baada ya uchaguzi nilitakiwa kushughulikiwa, amri ilisema wasikosee shabaha

Aliyeruhusu kutoka central police ni huyo Naibu Balozi? Maana polisi siyo sehemu ya ubalozi na polisi wangeamua kumshikilia huyo Naibu Balozi angefanyaje? Wakati mwengine huyu jamaa yenu achuje mambo kabla ya kuongea. Kama watu wameamua kwenda mbele afocus mbele. [emoji120][emoji120][emoji120]
Hivi una umri gani? Polisi wamkamate balozi/naibu balozi? Are you insane?
 
CCM na serikali hawajawahi kujibu hoja na tuhuma za Lissu hivyo kusema anachonganisha ni kukwepa hoja za msingi.

Kitu kinachoitwa maridhiano ni kiinimacho kafanyiwa Mbowe.

Watanzania tunahitaji muafaka wa kitaifa. Malalamiko yasikilizwe wahusika wajieleze na hatua zichukuliwe
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kama kweli kuna maridhiano kila kitu kiwekwe wazi, waliokufa, waliotekwa, waliopotezwa, walioporwa/waliodhulumiwa, waliojeruhiwa.
Kila mwenye malalamiko apewe nafasi ya kusikilizwa na malalamiko yake yafanyiwe kazi hii ni njia ya kuepuka kurudia makosa na kurudi kwenye situations zinazohatarisha umoja na mshikamano wa nchi.
Ndugu na jamaa wa wale waliouawa au waliopotezwa nao wapewe jukwaa la kuzungumza.
Kwenye ku-reconcile kila kitu kiwe wazi.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kama kweli kuna maridhiano kila kitu kiwekwe wazi, waliokufa, waliotekwa, waliopotezwa, walioporwa/waliodhulumiwa, waliojeruhiwa.
Kila mwenye malalamiko apewe nafasi ya kusikilizwa na malalamiko yako yafanyiwe kazi hii ni njia ya kuepuka kurudia makosa na kurudi kwenye situations zinazohatarisha umoja na mshikamano wa nchi.
Ndugu na jamaa wa wale waliouawa au waliopotezwa nao wapewe jukwaa la kuzungumza.
Kwenye ku-reconcile kila kitu kiwe wazi.
Hayo ndiyo maridhiano yanavyotakiwa kuwa.
Kuchagua chagua topics kwenye pakacha la machungu ni kufanya ubaguzi na kuendeleza uhalifu uliotufikisha mahala pabaya kama Taifa
 
Ndio agenda iliyomrudisha
Lawama zake haziwapi watu ajira
Kila leo lawama kama yatima
Mimi nilisha mchoka unajua watu hawaelewi ruto ali ongea mbele ya hasimu wake kenyatta kumtuhumu kutaka kumuuua huyu nyalisu magufuli alipo kuwa hai hakuwai kumchana live kwamba ulitaka kuniua na ushaidi huu ameacha mtu kafa eti ndio anadai haki pumbavu kweli tokea lini maiti ikaongea maisha magumu na yako kasi kwelikweli tumechoka na ngonjera zazamani Mimi nilisha mchoka uyo nyamlisu kila siku kelekle wakati mahakama zipo kwanini asifungue mshtaka kama wenzake
 
Mimi nilisha mchoka unajua watu hawaelewi ruto ali ongea mbele ya hasimu wake kenyatta kumtuhumu kutaka kumuuua huyu nyalisu magufuli alipo kuwa hai hakuwai kumchana live kwamba ulitaka kuniua na ushaidi huu ameacha mtu kafa eti ndio anadai haki pumbavu kweli tokea lini maiti ikaongea maisha magumu na yako kasi kwelikweli tumechoka na ngonjera zazamani Mimi nilisha mchoka uyo nyamlisu kila siku kelekle wakati mahakama zipo kwanini asifungue mshtaka kama wenzake
Wewe mpumbavu nini???Uliwahi ona Uhuru Kenyatta kule Kenya akihangaika kuwafunga wapinzani na kuwabambikia kesi lukuki??Lakini huyu fara wako kila siku kwa muda wa miaka mitano alikuwa anapambana na Wapinzani na kuwafunga kiholela bila sababu.Nasikitika kuona vijana wengi wanakuwa na mawazo kama yako kwenye uwanja ambao huwezi fanya hayo unayopendekeza.
 
Mimi nilisha mchoka unajua watu hawaelewi ruto ali ongea mbele ya hasimu wake kenyatta kumtuhumu kutaka kumuuua huyu nyalisu magufuli alipo kuwa hai hakuwai kumchana live kwamba ulitaka kuniua na ushaidi huu ameacha mtu kafa eti ndio anadai haki pumbavu kweli tokea lini maiti ikaongea maisha magumu na yako kasi kwelikweli tumechoka na ngonjera zazamani Mimi nilisha mchoka uyo nyamlisu kila siku kelekle wakati mahakama zipo kwanini asifungue mshtaka kama wenzake
Ukiua au kujaribu kuua , sio aliyeuawa au aliyetaka kuuawa atakayekwenda mahakamani kufungua kesi, ni Jamhuri ndiyo itachunguza na kufungua kesi. Sawa eeh, na uounguze ujuaji kupitiliza.
 
Kama mikutano ya hadhara ni fursa ya kufitinisha na kuchafua watu tunahaja ya kuangalia. Ila pia ni vizuri kuwapa fursa watu kutema sumu

======

Tundu Lissu amesema alirejea Tanzania mwaka 2020 kwa ajili ya uchaguzi na alilazimika kuondoka tena mwaka huo kwa sababu mtesi wake alitoa amri ashughulikiwe tena bila kukosea shabaha. Tundu Lissu ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa alishambuliwa kwa risasi 16 siku ya Septemba 7, mwaka 2017 na kuondoka nchini kwa sababu ya matibabu.

Lissu amesema baada ya kupewa taarifa kuwa anatafutwa ili auawe mara baada ya uchaguzi, Oktoba 31, 2020 alijificha. Baadae alipata taarifa kuwa maficho yake yamejulikana na akashauriwa akimbie ndipo alipowasiliana na balozi wa Ujerumani ili kunusuru nafsi yake.

Alipofika katika Ubalozi wa Ujerumani, kabla ya kuruhusiwa kuingia magari matatu yalifika katika ubalozi na kutaka kumchukua kumpeleka kituo cha polisi. Lissu alibisha kwa kutaka kujua kosa lake na sababu ya kupelekwa kituoni.

Wakati wametaka kumuingiza kwenye gari, Naibu Balozi wa Ujerumani alitoka na kuwahoji waliokuwa wanataka kumchukua Lissu. Naibu balozi aliomba kama wanaweza kwenda na Lisu kwenye mahojiano ambapo waliotaka kumchukua walikubali, hivyo Naibu Balozi na Polisi na Lissu walienda wote kituoni na Naibu balozi aliuliza kuhusu muda watakao muhoji na kusubiri ili wakimaliza waondoke nae.

Baada ya majibizano, Naibu balozi alimuambia Lissu kuwa nchi hii sio salama hivyo wakampa makazi katika makazi ya ubalozi wa ujerumani. Alikaa hapo kwa siku nane akisaidiwa kupata vitu vyote vya safari ikiwemo Passport na VISA. Siku husika ya safari Naibu Balozi alimsindikiza Lissu hadi kwenye ndege ili kwenda Ujerumani kujificha


View attachment 2508265
View attachment 2508321
View attachment 2508326
View attachment 2508335
View attachment 2508336
Porojo za kuhangaika na marehemu hizo.aje na suluhuhisho na UCHUMI mbovu
 
Kama mikutano ya hadhara ni fursa ya kufitinisha na kuchafua watu tunahaja ya kuangalia. Ila pia ni vizuri kuwapa fursa watu kutema sumu

======

Tundu Lissu amesema alirejea Tanzania mwaka 2020 kwa ajili ya uchaguzi na alilazimika kuondoka tena mwaka huo kwa sababu mtesi wake alitoa amri ashughulikiwe tena bila kukosea shabaha. Tundu Lissu ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa alishambuliwa kwa risasi 16 siku ya Septemba 7, mwaka 2017 na kuondoka nchini kwa sababu ya matibabu.

Lissu amesema baada ya kupewa taarifa kuwa anatafutwa ili auawe mara baada ya uchaguzi, Oktoba 31, 2020 alijificha. Baadae alipata taarifa kuwa maficho yake yamejulikana na akashauriwa akimbie ndipo alipowasiliana na balozi wa Ujerumani ili kunusuru nafsi yake.

Alipofika katika Ubalozi wa Ujerumani, kabla ya kuruhusiwa kuingia magari matatu yalifika katika ubalozi na kutaka kumchukua kumpeleka kituo cha polisi. Lissu alibisha kwa kutaka kujua kosa lake na sababu ya kupelekwa kituoni.

Wakati wametaka kumuingiza kwenye gari, Naibu Balozi wa Ujerumani alitoka na kuwahoji waliokuwa wanataka kumchukua Lissu. Naibu balozi aliomba kama wanaweza kwenda na Lisu kwenye mahojiano ambapo waliotaka kumchukua walikubali, hivyo Naibu Balozi na Polisi na Lissu walienda wote kituoni na Naibu balozi aliuliza kuhusu muda watakao muhoji na kusubiri ili wakimaliza waondoke nae.

Baada ya majibizano, Naibu balozi alimuambia Lissu kuwa nchi hii sio salama hivyo wakampa makazi katika makazi ya ubalozi wa ujerumani. Alikaa hapo kwa siku nane akisaidiwa kupata vitu vyote vya safari ikiwemo Passport na VISA. Siku husika ya safari Naibu Balozi alimsindikiza Lissu hadi kwenye ndege ili kwenda Ujerumani kujificha


View attachment 2508265
View attachment 2508321
View attachment 2508326
View attachment 2508335
View attachment 2508336
This is of course one version, the other side cannot defend itself. Lakini kama ni kweli, kakaa miezi 3 akitembea Nchi nzima si wangemuua kwa ajali Sekenke au Kitonga? Hii ni ushahidi hafifu, sawa na ule wa risasi 16 za AK 47 zikukose wakati Wabunge wote Area D wamemriwa kususia lunch.
 
Ukiua au kujaribu kuua , sio aliyeuawa au aliyetaka kuuawa atakayekwenda mahakamani kufungua kesi, ni Jamhuri ndiyo itachunguza na kufungua kesi. Sawa eeh, na uounguze ujuaji kupitiliza.
Sijui tumepishana wapi wewe kwaio una maanisha serikali inaunga mkono shambulio la tundulisu
 
Sijui tumepishana wapi wewe kwaio una maanisha serikali inaunga mkono shambulio la tundulisu
Serikali ya Magufuri iliunga mkono 100% ndiyo maana haikuwajibika kuanzia upelelezi wa tukio lenyewe,matibabu na mwisho ilimfuta kazi kwa kile ilichodai Tundu Lisu ni mtoro,mzururaji na hawajui aliko.
 
Kuwa na fake Id hakukuondolei ujinga. Sitakujibu tena. Nilishakueleza ili siku nyingine usikurupuke kujibu.[emoji120][emoji120][emoji120]
Hauna akili, hiyo ID ndiyo iko verified au siyo? Akili za kushikiwa Sukuma gang wote mmekuwa mazuzu.
Just be politically neutral and you'll definitely come back to your senses.
 
Hii nchi hakuna haha ya upinzani Yani nlitegemea saiv awe na hoja moto moto za kukosea lakini kila siku anasimulia issue zake binafsi ambazo hazina ushahidi anahisi tu
Sasa kama walipanga wazi wazi kumuua kwanini wasubir uchaguzi upite?sinwangemuua tu kabla
Kama alienda police na kutoka wangeshindwa kumkamata moja kwa moja ko police yetu inaogopa balozi mbele ya mpango wa rais?
Kwahiyo aliekua na chuki nae ni magufuri tu ko amekufa ccm waliobaki wanampenda?
Serkalin ya sasaivi iko safi kabsa ko anakosoa ilio pita tu?maana kutwa ni kusifia Samia namwita dada magufuri alitaka kuniua Sasa Kuna haja Gani za mikutano ya siasa?
 
Kama siyo kweli. Waambie waunde Tume kuchunguza Jaribio la kumuua Lissu. Kuna vitu mnaponda kisiasa kupotosha ukweli. Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwa nini hii kesi ya Lissu hakuna anayezungumza wala kuchunguza!?

Muacheni Lissu azungumze. Asipofanya hivyo kesi yake itasahaulika. Jinai haifi.
Hata wakileta majibu ya uchunguzi yakatofautiana na mawazo yako utakataa pia.
 
Back
Top Bottom