Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Uchawa umekuzidi mpaka akili zote zimepotea, focus na campaign yenu ya tonge nyama ndio mnachowezaLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Huna akili hata hujui kaongea nini umesoma kichwa cha habari unatoa uharo tu hapo. Hata hao wanaokulipa wakisoma alischosema Lissu na hii post yako wanakudharau sana.Lisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Ainusuru wakati kesi ilishasikilizwa na mzungu kawashinda si mngemuita kwenye utetezi wakati kesi inasikilizwa..Hiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchiyako.
Huyo lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru ncniyake otherwise ni msalititu.
Na pesa ya mnada isipotosha wanakamata nyingineTundu Lissu amesema mali isipokombolewa baada ya kuzuiliwa, itapigwa mnada ili kufidia deni linalodaiwa. Kwa muda gani, inatagemea mkataba Serikali uliongia.
Tundu Lissu alikuwa anajibu swali la mdau aliuliza nini kitatokea kama Serikali itashindwa kulipa deni lililopelekea ndege kukamatwa.
Kukopa harusi kulipa matangaLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
umefufuka naona. ngoja nikutumie picha ya rafiki, Mungu wakoLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Lissu hyohyo mnambeza kuwa hajui chochote,Hiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchiyako.
Huyo lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru ncniyake otherwise ni msalititu.
Nipo!.Ngoja aje bwana Mayalla
Ainusuru vipi?Hiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchiyako.
Huyo lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru ncniyake otherwise ni msalititu.
Wewe ni mwalimu wa nini?Kwa Hiyo!
Ndege yetu inatelekezwa ili kampuni MPYA ya wajanja ifanye kazi sio!?
Tunasubiri kama itatelekezwa!
Mikataba ya hovyo mnafanyiana wenyewe kwenye shida mnakimbilia wengine wawasaidie na kuwaita wasaliti.Nipo!.
Mimi nasisitiza uzalendo Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
P
MIGA......sasa vilaza kama nyie ndio mnaelewa alichowafundisha Mbabe wa Sheria za kitaifa na Kimataifa Mh Tundu LissuLisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Kwa hiyo nyinyi myakoroge, sisi tuyanywe?Nipo!.
Mimi nasisitiza uzalendo Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
P
Laiti kungekuwa na sheria ya kukamatwa kiongozi wa nchi inayodaiwa akienda ughaibuni na kuzuiliwa huko hadi deni litakapolipwa wangekoma kukopa hovyo.ATCL itakuwa inaruka ndani ya nchi tu. [emoji23] south africa mkulima anawasubiri huku mswis anawasubiri mkapeleke ndege china hawa kamate
Watu wanalamba asaliWewe jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]kuwa mzalendo basi