Mikataba ya kiunyonyaji ni kazi ngumu sana kuivunja,hata Magu alifanya tu ubabe, Mabepari bado wanaitawala Africa kwa njia za nyingi za kiutapeli!!!Hiyo mikataba ilikuwa na faida gani kwenye Nchiyako.
Huyo lisu kama anaakili angetafuta namna ya kuinusuru ncniyake otherwise ni msalititu.
Kwani yeye ndiyo ali sign hiyo mikataba ya kiunyonyaji!!?Mbaya zaidi hii ndege imekamatwa kwa uzembe wa mwenda pombe.
Mzee wa kungata na kupuliza!!!Ngoja aje bwana Mayalla
[emoji3][emoji3][emoji3]Badala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao. Viongozi Hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje ktk hili?
[emoji38][emoji38][emoji38]Badala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao. Viongozi Hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje ktk hili?
Taasisi nyeti iheshimiwe please .......[emoji38][emoji38][emoji38
Hili ni wazo la kufungia mwaka!Badala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu, ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao.
Viongozi hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje katika hili?
Ingekuwa poa saana [emoji1787]
Inawezekana Kiongozi kukamatwa. Mfano, Tundu Lissu na Godbless Lema wote wameshikiliwa Ulaya. Au hujui hilo?Badala ya kukamatwa mali na vitu vya thamani vilivyogharamiwa kwa kodi zetu, ingelikuwa ni vema wanaotudai wakawakamata viongozi wakuu wa nchi ili kufidia madeni yao.
Viongozi hawa wakikamatwa iwe ni jukumu la ndugu na jamaa zake kumkomboa (maana mchuma janga hula na wa kwao).
Sheria za kimataifa zinasemaje katika hili?
Unamawazo mfu sana, mtu kuelimisha watu ndio kufurahi?Lisu meno yote nje kwa furaha ndege za Tanzania zikikamatwa!
Watanzania tudai kodi tuliyotumia kumsomesha Lisu hana faida yoyote kwa taifa.
Kama ndege hazikupigwa mnada enzi ya Magufuli hazitapigwa mnada tena
Na wewe tuonyeshe furaha aliyoonyesha Lissu,habari inasema alipokuwa akijibu swali, haya tuomyeshe wapi kafurahi?Kwani nani amemlaumu? Kwanini usiende kwenye swali nililouliza. Kwanini tundu anafurahia sana shida za nchi hii! Does that make him eligible to be thé president? For instance angepewa uraisi akakuta kuna madeni yanayotaifisha ndege angeendelea kuchekelea?
Mnakuwaga very irrational. Jibu swali toa mihemko
Umeona lini au umesikia wapi lissu akifurahi?.au unaamini porojo za vilaza wa uku Jf wasiompenda lissu.Lissu hana huo ujinga.Kwani nani amemlaumu? Kwanini usiende kwenye swali nililouliza. Kwanini tundu anafurahia sana shida za nchi hii! Does that make him eligible to be thé president? For instance angepewa uraisi akakuta kuna madeni yanayotaifisha ndege angeendelea kuchekelea?
Mnakuwaga very irrational. Jibu swali toa mihemko