Kwahiyo Tundu Lissu amekuwa misinformed kuhusu hii sheria.Hata huko kwenye madini ilikwishafutwa. Ilikuwa kuwahadaa wajinga.
Mkataba wa Barrick na Serikali unatamka kuwa migogoro itaamliwa na mahakama ya Singapore, na hakuna kukata rufaa, na hata kukiwa na mgogoro, Serikali ni marufuku kusimamisha uzalishaji au exports.
kaliulize basha lako zile ndege zenu uchwara za kubebea mbuzi kule canada na ulaya zilifanywaje.Tutashitakiwa MIGA
Wajinga endeleeni kushabikia yanga kuitwa ikulu mambo makubwa hamyawezi.Anaanza mdogo mdogo kujisafisha baada ya kuchemka....
lissu atoke kupigania wapumbavuSwali kwa tundu lissu Vipi hamtoki barabarani!
wapumbavu wa magufuli lile uwaji la watu nendeni ikulu mkashangilie yanga kuvalishwa shanga shingoni.Nadhani kila mtu ameona. Huyu Lissu ameongea tu taratibu zinazotakiwa bila kusema mkataba una madhara gani kwa taifa. Na asingeweza kuupinga. Ujue yuko huko. Halafu eti anaonyesha kudharau hatua ya serikali ya Magufuli kutaka migogoro iamuliwd TZ. Halafu mtu na akili yake anadai Lissu ni mtetezi wa maslahi ya waTZ.
Alihongwa huku wewe ukiwekwa upinde na accacia.Lisu alihongwa na Accacia hana Uzalendo wowote yule.
lamaana tulitegemee kwa mafisadi ya ccm na wapumbavu wao mliogeuzwa misukule.Huyu alishafikwa bei kitambo sana, usitegeme lolote la maana kutoka kwake. Ma-deal kama haya ni lazima wapiga kelele wote watangiziwe.
Yamekuwa hayo tena? Kweli duniani kuna watuwapumbavu wa magufuli lile uwaji la watu nendeni ikulu mkashangilie yanga kuvalishwa shanga shingoni.
Tundu Lissu na CCM wote wanaona ni sawa bandari wapewe hao jamaa wa Dubai. Mimi sikubaliani nao hata kidogo. Ushabiki nimeonyesha wapi?Weka ushabiki wa kivyama pembeni tumia akili Yako kutafakari hoja
But Lissu supported what happened. Au hujamsikiliza? Hapingi hata kidogo uuzwaji wa bandari kwa Dubai.Nadhani wewe ndiye pimbi,Yuko huko wapi? Yuko Bungeni? We Pimbi kweli, yaani unashindwa kudili na walioko bungeni una Dili na Lisu? Lisu ni Mwanasheria wa Serikali? Lisu ni mbunge? Acha upoyoyo wewe
Na hiyo ni baada ya kuona ZZK alivuta alipoteuliwa kwenye kamati ya madini na JK. Lissu kagundua kumbe kuna chemchemu mahali naye akajikita pale. Lissu aliyekuwa ameandika makala kuonyesha Waafrika tunavyoibiwa kwenye makanikia ghafla akafanya U-turn akawa mtetezi mkuu wa wazungu wapewe makinikia yao eti ni haki yao. Halafu watu wanasema eti Lissu ni mtetezi wetu.Lisu alihongwa na Accacia hana Uzalendo wowote yule.
Tayari umeshatangazwa kwa sura ya Uwekezaji!Hivi Kule Zanzibar hakuna ubinafsishaji?
Ana price tag huyo hakuna kitu hapo.Lissu ameongea kwa upole sana. Kweli umeongea point. Kuwekwa sheria inayotaka migogoro ya kimkataba iamuliwe nje ya nchi tunapiga kelele, JPM kaondoa hiyo, badala Lissu asifie hilo jambo kwamba ni la kizalendo, anaamua kuona kwamba tulifanya uamuzi wa ajabu (kwa sababu tu anamchukia Magufuli) anaona kurudisha ile utaratibu wa zamani ndiyo sawa! Uwendawazimu gani huu
si ukute ilikuwa mpango wa mbowe ili kutupoteza upepo tuamini wanagombana kumbe hamna kitu. walikuwa wanapima upepo. ninachomwomba Tundu Lisu, 2025 wame na hoja za maana na juu ya Tanganyika.Anaanza mdogo mdogo kujisafisha baada ya kuchemka....
Wewe mzalendo wa Tanganyika?Lisu alihongwa na Accacia hana Uzalendo wowote yule.
Kwahiyo Tundu Lissu amekuwa misinformed kuhusu hii sheria.