Na huku analitumia jina la Magufuni kinafiki kutafuta mtaji wa kisiasa kwa kuona kule kwa "mbulla" "YESU na Maria" hatoboi.Magufuli alikua ni sawa na MAJI.
Kuna namna tu utayatumia !!.
Niliandika humu, Mwaka 2025, ili Wananchi wakukubali ni LAZIMA ULITUMIE VEMA JINA LA MAGUFULI.
Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40...Lissu alisema Magufuli alijaribu kumuua.
Hapana. Kuna mambo aliyafanya visivyo.Niliwambia zamani CHADEMA
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha...
Hawa wote watakuja kutubu chatle watanikutaLema mbona mapema sana alishasema[emoji1787]
Ilikuwa kuhusu umeme kukatika, akasema akina Makamba wasimsingizie Magufuli upumbavu wao wa kushindwa simamia[emoji1787]
Maana walianza kusema mitambo haikufanyiwa service miaka sijui mingapi aisee,hii nchi.
Nina imani, kuna siku hao vijana watajitokeza mbele, hata kama siyo kwa watu wengine; watakwenda kwa Lissu mwenyewe kujitambulisha.Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40.
HOJA hapa ni UZALENDO wa Magu,
Mapungufu yake hayarekebishiki sababu ameshalala, ndomana Lissu amekiri mema yake.
Sina HAKIKA kama wako hai Hadi sasa.Nina imani, kuna siku hao vijana watajitokeza mbele, hata kama siyo kwa watu wengine; watakwenda kwa Lissu mwenyewe kujitambulisha.
😂😂😂😂😂Huu ni wakati wa nyumbu wote kubadili uelekeo sababu kiongozi wa nyumbu Serengeti ametangaza Rasmi kwenda kutubu CHATO!!
Risasi zilizobaki mwilini zimemmaliza akili huyu mnyaturu wa Ikungi aisee!"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40.
HOJA hapa ni UZALENDO wa Magu,
Mapungufu yake hayarekebishiki sababu ameshalala, ndomana Lissu amekiri mema yake.
Nikiona hii nacheka mpaka basi wanasiasa wetu mbingu wataisikia redioniHahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.View attachment 2701543View attachment 2701545
Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu.Niliwambia zamani CHADEMA
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO..
Anajisahihisha,Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu. Anatumia jina la magufuli kuungwa mkono...
Akienda, achukue na fimbo, akalichape lile kaburi akitoa lawama kwanini walivunja mkataba tukalipa bilioni 260 kwenye ile kesi mruma amejing'atang'ata. huyo jamaa alikuwa mzalendo ila kwa upande mwingine pia ametutia hasara sana."Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Hapo safi"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Kuwa mshabiki wa chama unapaswa ujitoe akili dah ndugu yangu kazi ni kubwa sana kwa vichwa kama hawaKwahy kumbe utawala bora ni tofauti na kulinda rasilimali za taifa.? Bc sawa, chadema akili zenu mnazijua wnyw na sasa hivi mdogo mdogo maji yanajitenga na mafuta
Lissu Aungwe mkono...amekiri na UOVU wa Magufuli.
..Lissu ni msemakweli.
Haja amuru bhna acha kumzushiaaaALipoamururu auawe ndipo walipokoseana tu