Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu just admit kwamba unatumika kuharibu watu fulani kwa ajili ya mtu fulani acha kuongea upupu tumechoka bhana .
Wewe ni mnafiki kisa magufuli hakuwa anapenda kupelekeshwa ndio unamdis endelea na maisha yako atleast ulipo unakera
Hiyo argument ni ya KITOTO sana. Rais ni mwajiriwa wa wananchi kwa kura alizoomba na kupigiwa. Hawezi kusema eti hapendi KUPELEKESHWA!!. Kama hupendi kupelekeshwa usigombee uRais.

Na wewe hufahamu mateso aliyopitia Lissu, halafu unaandika tu hapa kama Bata anavyoharisha
 
Hiyo argument ni ya KITOTO sana. Rais ni mwajiriwa wa wananchi kwa kura alizoomba na kupigiwa. Hawezi kusema eti hapendi KUPELEKESHWA!!. Kama hupendi kupelekeshwa usigombee uRais.

Na wewe hufahamu mateso aliyopitia Lissu, halafu unaandika tu hapa kama Bata anavyoharisha
Wewe unaandika kama bata aliyetoka kugegedwa au mwenye ngideri
 
Nacho mpendea magu ni hakuwa mnafiki, akiona upumbavu mahali haijalishi we ninani atakuambia ukweli na atausimamia.
Lisu ni mchumia tumbo tu kama walivyo wengine hana uzalendo na hana alama yoyote zaidi ya kupiga makelele na sifa za hovyo hovyo.
 
Nacho mpendea magu ni hakuwa mnafiki, akiona upumbavu mahali haijalishi we ninani atakuambia ukweli na atausimamia.
Lisu ni mchumia tumbo tu kama walivyo wengine hana uzalendo na hana alama yoyote zaidi ya kupiga makelele na sifa za hovyo hovyo.
Kwani mzee mecco hakuwa mpambavu?
 
Nacho mpendea magu ni hakuwa mnafiki, akiona upumbavu mahali haijalishi we ninani atakuambia ukweli na atausimamia.
Lisu ni mchumia tumbo tu kama walivyo wengine hana uzalendo na hana alama yoyote zaidi ya kupiga makelele na sifa za hovyo hovyo.
Yeye mwenyewe Magu alikuwa mpumbavu, aliikaidi uwepo wa COVID 19, na COVID-19 ikampa majibu.

Akatuma WASIOJULIKANA wamshambulie Lissu, lakini Mungu kamnusuru Lissu ile yeye huyo anaoza pale Chato kaburini
 
Yeye mwenyewe Magu alikuwa mpumbavu, aliikaidi uwepo wa COVID 19, na COVID-19 ikampa majibu.

Akatuma WASIOJULIKANA wamshambulie Lissu, lakini Mungu kamnusuru Lissu ile yeye huyo anaoza pale Chato kaburini

Kifo ndio kitu pekee chenye guarantee, hivyo hata wewe hapoulipo ni mzoga unao tembea niswala la muda tu.
Angalau yeye hakuwa muoga kutetea rasilimali za nchiyake kwa sababu ya kuogopa kifo.

Mkuu wanchi alitangaza kwamba alikufa kwa matatizo ya moyo swala la covid ni habarizenu za viljiweni.
 
Huyu jamaa hajarudi tu,kimyaaa analamba tu asali sasa peke yake tabia ya mijitu michoyo.
Zikianza kuisha ndo utaona hapa atarudi kwa kasi tena na upuuzi mwingine aongezewe asali.
Tabia ya wachumia tumbo
 
Kifo ndio kitu pekee chenye guarantee, hivyo hata wewe hapoulipo ni mzoga unao tembea niswala la muda tu.
Angalau yeye hakuwa muoga kutetea rasilimali za nchiyake kwa sababu ya kuogopa kifo.

Mkuu wanchi alitangaza kwamba alikufa kwa matatizo ya moyo swala la covid n
Ninajuwa nitakufa, haina ubishi. Lakini kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake

Hicho ndicho kinatufurahisha
 
Back
Top Bottom