Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
mbona nyie magaidi huwausisha na waislam???Mkuu, usihusishe Dini, mtu akiwa na roho mbaya ni yeye, by the way, the Guy faced his mortal reality ,tusonge mbele tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona nyie magaidi huwausisha na waislam???Mkuu, usihusishe Dini, mtu akiwa na roho mbaya ni yeye, by the way, the Guy faced his mortal reality ,tusonge mbele tu.
Pongezi kwa Samia.
So, Samia kamlipa stahiki zake zote ila bado hajamkubalia kurudi nyumbani? au alishakubaliwa kurudi nyumbani ila yeye ameamua kubaki Ubelgiji kwa mambo yake binafsi?
Atuweke wazi na kwenye hilo, sababu huwa anatoa ahadi za nitakuja tarehe fulani, halafu tarehe hiyo ikifika haonekani bila kutuambia kwanini hajarudi, ili kama lawama zibaki kwa Samia na serikali yake tujue, au kama lawama ni za Lissu binafsi tujue.
Nchi imepona vp kama hadi wauza unga huko wanarudi kwenye biashara zao tena za unga na wengine wanaachiwa huko gerezani?Furaha ni kwamba nchi imepona huyu kichaa hawezi tena kuja kuleta usumbufu
Mtalalama sana sukuma gang uvccm.Hapana Sina chuki.
Utawala wa Samia upo sahihi [emoji817].
Ndo maana mmekaa kimya.
Hamna Cha kukosoa tena maana MASLAHI.
PENYE HUDHIA....
Kina kipara kipya hao .Walinzi wa CCM hao
Hongera sana kwa jibu zuri sana kwa huyo sukuma gang.wafuasi wa shetani mkajinyonge
Yaah! ile speed ya yule shetani hivi sasa Bwawa la umeme kule Rufiji lingekuwa limeshakamilika.atarudi tu usiwe na hofu...Tanzania ni nchi yake na nafikiri Mama Samia ameamua kufungua ukurasa mpya katika nchi yetu. Kwa kweli tulipokuwa tumefika na tulipokuwa tunakwenda ilikuwa ni hatari hatari kwa nchi yetu.
Mtalalama sana sukuma gang uvccm.
Mlizoea kuuza majungu kwa mtawala ili mpate mkate wenu wa kila siku.
This time around mama kawachunia hamna tena hiyo nafasi ya kuuza majungu .
Weka ushahidi. Meko kafa na harudi kuleta ushamba wakeNchi imepona vp kama hadi wauza unga huko wanarudi kwenye biashara zao tena za unga na wengine wanaachiwa huko gerezani?
Jinfa sana hili,eti linatokwa machozi kisa huyo jamaa kapewa mafao.Wee mjinga kweli lissu atakupa nn sas katk pesa hzo
Upinzani utaupata ndani ya ccm yenyewe na si kwa opposition parties.2025 wapinzani wote wa mama watakuwa wanamuunga mkono..2025 anapita bila kupingwa
NI matapeli tupuKina kipara kipya hao .
Dunia sasa inakwenda kwenye kwenye nuclear power plants - wewe unaturudisha kwenye ma umeme wa mi-maji, tech ya miaka ya 60. Vyepesi vina gharama zake.Yaah! ile speed ya yule shetani hivi sasa Bwawa la umeme kule Rufiji lingekuwa limeshakamilika.
Kuna wana CCM hawatapenda hii kitu.
heheheheee nadhani ata Mr Chairman alishalipwa ile 2b, yupo kimyaaaaUgomvi wa magufuli na chadema ulikuwa kwenye MASLAHI.
huwezi tena kuwasikia Sasa hivi Wana matonge mdomoni.
Hawawezi kuongea.
Nyie wengine mpambane na hali ZENU