Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

I love reconcilliation
Mnyonge, mnyongeni lakini haki yake mpeni. Haki imetamalaki katika nchi yetu, mengine yatakuja taratibu, tuvute subiri. Mambo mazuri hayahitaji haraka sana. Anachofanya Rais Samia, hakijawahi kufanywa na kiongozi yeyote duniani. Ndiyo kunaweza kukawa na ukakasi kwenye baadhi ya mambo ambayo hayajakaa vizuri lakini yaliyofanyika yamefunguwa njia.
 
Ni jambo jema. Sijui Ndugai anajisikiaje na ule ujeuri wake
'Kwa vituko vya ukatili na ukandamizaji alivyomfanyia Lissu na wengine wa upinzani na kuendelea kuvitambia kwa majivuno makubwa huku akishangiliwa na wa kijani, yafaa Ndugai aongozwe kwenye sala ya toba ili aachane SHETANI na aweze kumrudia Mungu wa kweli.'
13686601_952272284883746_776817641519985636_n.jpg
Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe akizungumza jambo na Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai alipomtembelea nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam,baada ya kurejea nchini hivi karibuni kutoka India alipokwenda kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
by tikisamedia on August 03, 2016 in Habari
 
Waislamu wa bongo wanaroho nzuri sana kuliko wakristo sijui kwanini
Ni kweli kabisa ndio maana hao waislam waliwakamata mashekh kule Zanzibar wakawafunga miaka 9 mpaka wakristo wakaja kuwaachia huru.
 
Narudia tena ugomvi wa magufuli na chadema ulikuwa ni MASLAHI.
Sasa wamepata MASLAHI yao.
Huwezi tena kuwasikia .
Unataka kusema UONGOZI wa Samia ni mzuri na hauna MAPUNGUFU?
wameshazibwa mdomo na hawawezi kuongea
KWENYE HUDHIA....
Yule jamaa alikuwa zaidi ya shetani. Ilikuwa ukifungua mdomo wako anakupoteza
 
Pongezi kwa Samia.

So, Samia kamlipa stahiki zake zote ila bado hajamkubalia kurudi nyumbani? au alishakubaliwa kurudi nyumbani ila yeye ameamua kubaki Ubelgiji kwa mambo yake binafsi?

Atuweke wazi na kwenye hilo, sababu huwa anatoa ahadi za nitakuja tarehe fulani, halafu tarehe hiyo ikifika haonekani bila kutuambia kwanini hajarudi, ili kama lawama zibaki kwa Samia na serikali yake tujue, au kama lawama ni za Lissu binafsi tujue.
Wabongo badala kuwaza kujiendeleza kimaisha kama kutafuta vyanzo vya mapato unawaza LAWAMA .
 
Back
Top Bottom