Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama Mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia, Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa CHADEMA ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.


Sawa na wastaafu wengine wa Jumuiya ya Afrika Mashariki walipwe stahiki zao tusibaguane
 
Mama Samia ataishi. Ataiepuka jehanamu maana amemtendea mema mwana wa Mungu Tundu Lisu tangu mwanzo.

Yule shetani ndiyo maana aliondolewa mapema na muumba.
Jehanamu unafikiri ni kwa bwanako
 
Hakuna cha hesabu, huwezi ukaumiza mioyo ya watu kikatili kiasi kile, kisha utegemee kukubalika. Yule mzee alikuwa ameumiza mioyo ya watu wengi akiwemo mke wake. Anachokifanya mama kwa sasa ni kujaribu kuitibu mioyo iliyoumia sana. Hata mimi ningekuwa kwenye nafasi yake ningefanya hivyo hivyo. Yule mzee alikuwa ni wakala wa shetani. He deserved to die on that very time.


Yesu ni Kristo
Hebu angalia awamu ya nne hali ilifikia hadi rais akaonekana ni dhaifu, nchi ilikuwa kama imeuzwa ikafikia hatua baadhi ya watu kutamani aje rais dikteta.

Sasa hivi tena Samia tunasema anarekebisha makosa ya awamu ya tano.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia amemlipa stahiki zake kama Mbunge ambazo ni kiinua mgongo, Serikali ya Rais Magufuli ilikuwa imekataa kumlipa.

Pia, Serikali ilimuambia aandike barua pamoja na kuambatanisha na nyaraka ili apewe fedha zake za matibabu ambazo Serikali ya Rais Magufuli pia ilikataa kumlipa.

Pia Tundu Lissu amesema wanachama wa CHADEMA ambao walifungwa ama kuwekwa mahabusu kipindi cha Magufuli wameachiwa kasoro kesi chache ambazo nazo zinashughulikiwa.

Tundu Lissu alikutana na Rais Samia alipotembele nchini Ubelgiji ambapo waliongea mambo kadhaa ikiwemo stahiki hizo.


KWA HIYO!?
 
Hakuna cha hesabu, huwezi ukaumiza mioyo ya watu kikatili kiasi kile, kisha utegemee kukubalika. Yule mzee alikuwa ameumiza mioyo ya watu wengi akiwemo mke wake. Anachokifanya mama kwa sasa ni kujaribu kuitibu mioyo iliyoumia sana. Hata mimi ningekuwa kwenye nafasi yake ningefanya hivyo hivyo. Yule mzee alikuwa ni wakala wa shetani. He deserved to die on that very time.


Yesu ni Kristo
Nawe unastahili tu kufa, tena hata sasa hivi sababu umejaa chuki endelevu zisizotibika na udini tele ukiwa umejificha kwenye kivuli cha uungu kumbe ni shetani aliyekubuhu kwa ushenzi kuliko hata shetani mwenyewe.
 
Narudia tena ugomvi wa magufuli na chadema ulikuwa ni MASLAHI.
Sasa wamepata MASLAHI yao.
Huwezi tena kuwasikia .
Unataka kusema UONGOZI wa Samia ni mzuri na hauna MAPUNGUFU?
wameshazibwa mdomo na hawawezi kuongea
KWENYE HUDHIA....
Ulitaka aseme hajalipwa?
 
Hapana Sina chuki.
Utawala wa Samia upo sahihi [emoji817].
Ndo maana mmekaa kimya.
Hamna Cha kukosoa tena maana MASLAHI.
PENYE HUDHIA....
Naona unaongea huku kooni umekabwa na rundo la chuki kuu.

Pole sana ndugu hayo ndiyo maisha maana hata barabara haiwezi kunyooka unavyotaka wewe.
 
Back
Top Bottom