Tundu Lissu: Sabaya siyo mkosaji wa kisiasa ni jambazi

Tundu Lissu: Sabaya siyo mkosaji wa kisiasa ni jambazi

Aliyesema hivi yeye ndio jambazi la "LBGTQ+" asifikiri huyo mtawala aliyepo madarakan atakuwepo kwenye hicho kiti milele, hii kauli atakuja kuilipia gharama.
Lengai Ole Sabaya ndiye atakuwa rais wa Tanzania muda sio mrefu ujao pamoja na kuwa ni mwanasheria asije akatimkia Ubeligiji tenamaana hydrojeni na oksijeni hutengeneza maji sio moto
Ondoa upuuzi wako hapa. Huyo atakuwa rais wa familia yako labda.
 
Ondoa upuuzi wako hapa. Huyo atakuwa rais wa familia yako labda.
Hayo maridhiano ya wezi kwa wezi yatawagharimu pakubwa maana mna chuki, visasi, wivu na ungisi uliopitiliza kimo cha binadamu aliye na akili timamu. Hakika kufa mtakufa tu kama wengine tena kwa aibu
 
Soon ccm watampa teuzi Ili kumuomba msamaha. # jela ni kwa ajili ya watu masikini#
 
Shida iko wapi wewe usiyependa watu waridhiane? Ulifurahia sana kuona wenzako wakiumizwa, kwasasa kuna amani unachukia. Wewe ni binadamu mwovu kabisa.
Amani iko chumbani kwako labda ni heri mtu unayemwona akiwa mkali na mambo yanarekebishwa kuliko anayejifanya mpole, mruhusu kila kitu bila kujua ni pilato aliyekitakasa mikono kwamba anaona mtuhumiwa hana kosa lakini bado anawakabidhi wahuni wamsulubu mtu asiye na hatia ndio wewe unavyofanana.

Malizeni tu hiyo awamu yenu feki ya wezi halafu mshughulikiwe ipasavyo awamu ijayo
 
Hivi yule mchumba wake yupo wapi? Aisee, Sabaya ana pisi kali nyie watu. Ni hilo tu nililowahi kumuelewa Sabaya
 
Aliyesema hivi yeye ndio jambazi la "LBGTQ+" asifikiri huyo mtawala aliyepo madarakan atakuwepo kwenye hicho kiti milele, hii kauli atakuja kuilipia gharama.
Lengai Ole Sabaya ndiye atakuwa rais wa Tanzania muda sio mrefu ujao pamoja na kuwa ni mwanasheria asije akatimkia Ubeligiji tenamaana hydrojeni na oksijeni hutengeneza maji sio moto
Nadhani unatakiwa uwahi hospitali. Ukiona mpaka unafikia kufikiria jambazi ambalo haliweza kuwa hata mtendaji wa kijiji lakini wewe unaona linaweza kuwa Rais, ujue usipowahi, itafika wakati hata uwezo wa kuandika tu hautakuwepo. Utakuwa unaonekana zaidi kwenye majalala.
 
Back
Top Bottom