Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

Hujielewi.Ni vema ukajiita "Kabendera kafuata upepo"!
 

Na aliposema JPM ni dikteta uchwara mlisema pia ni mchochezi na wengine wakaenda mbele na kutamani hata amalizwe.

Leo hii ndio nyie nyie mnamuimbia mapambio Rais Samia kuwa amerudisha nchi kwenye demokrasia na nchi iko huru.
 
Dawa inawaingia kunakotakiwa sasa. Lissu shikia hapo hapo.
 
Jibu hoja zake vinginevyo unajijambia tu
 
Lissu anasema ukweli vinginevyo wente kuweza kumjibu kupitia katiba wajitokeze
 
huyo unayesema ni mchochezi, Watanganyika wanamwona ni mtetezi wao. humwezi uyo.
 
Lissu kukosea huwa vigumu sana halafu ukiondoa Mungu LISSU hajawahi kiogopa kiumbe yeyote alimradi anapumua na kwenda chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…