othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Hahaha naona mimba aliyokupa lisu inakutia kichefuchefuhuyu kibaka tapeli wa siasa ndio anapita kwenye upigaji ule ule wa pesa za chama alokua analalamikia na kulaumu wengine, halafu kinafiki anakuja kupiga mayowe hadharini eti ng'we ng'we ng'we chama hakina pesa, alaaaaa!🐒
ni rahisi sana kumtambua kibaka na tapeli wa kisiasa gentleman 🐒Hahaha naona mimba aliyokupa lisu inakutia kichefuchefu
Siku ukijifungua tupe mrejesho tukuletee babyshoo, hahahaani rahisi sana kumtambua kibaka na tapeli wa kisiasa gentleman 🐒
na kama wazalendo wa Taifa hili tutaendelea kuwaelimisha nyote kujiepusha kutapeliwa na vibaka wa kisiasa,Siku ukijifungua tupe mrejesho tukuletee babyshoo, hahahaa
TALl hafai kupewa nchi maana ana maneno maneno sana, chuki, hasira, wivu na jaziba za ajabu ajabuMwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Ila kiukweli Mwamba alikuwa ana mipango mingi sana ya kutafuta pesa, aliaminika sana wafanyabiashara wenzake kwahiyo mambo yalikuwa mepesi sana kwa chamaHati safi ya mahesabu ikatolewa na CAG (Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Umma kama ruzuku ), naye bila hiyana chini ya awamu ya 5 ya Magufuli na awamu ya sasa ya sita ya utawala wa rais Samia Hassan, CAG pamoja na kuelekezwa lakini ikawa vigumu na hivyo kwa haki kabisa kutoa hati hizo mwaka hadi mwaka bila kuweka angalizo lolote.
Pia Msajili wa Vyama Vingi Vya Siasa pamoja na kupekua vipengele vya kisheria, kanuni na maagizo lakini hakuona aina yoyote ya kuweza kukibana chama cha CHADEMA kwa kuwa mambo yote yameendeshwa kwa mujibu wa katiba na utaratibu wa chama.
TAKUKURU nao kwa kutumia njia zao za medani hawakuweza kuona dosari yoyote ya matumizi mabaya ya ofisi za chama kikuu CHADEMA ili kupunguza makali ya ushindani dhidi ya Chama Dola Kongwe Tawala CCM.
Uongozi mpya ulioingia sasa inabidi kuwa wabunifu wa kuhamashisha wanachama wengi wajiunge na pia kuwaondoa wafadhili hofu kwamba wanaweza kuichagia CHADEMA michango, donation, charity, matembezi ya kukusanya fedha n.k bila ya kuongopa serikali ya CCM na vyombo vyake kuwasumbua wafadhili wawe wafanyabiashara, matajiri n.k
Hilo la kuwahamasisha watanzania wote, wa madaraja yote ndilo jambo kuu uongozi mpya ndani ya CHADEMA inatakiwa walifanyie kazi kwa haraka sana ili kupata rasilimali fedha.
Sahihi kabisa na kukopesheka anakopeshekaIla kiukweli Mwamba alikuwa ana mipango mingi sana ya kutafuta pesa, aliaminika sana wafanyabiashara wenzake kwahiyo mambo yalikuwa mepesi sana kwa chama
Hizi story zenu za kuokoteza zinashangaza, kwanza sina ubishi kuwa baba yake Freeman alikuwa na ukwasi ila sio yeye aliyechangia pesa kwa kiasi kikubwa kusaidia safari ya Nyerere.Kwa taarifa tu ni kwamba Nyerere alinunuliwa tiketi ya kwenda UN na mzee Aikaeli Mbowe, baba yake Freeman Mbowe.
So akina Mbowe wameanza kitambo tu kuvifadhili vyama vya siasa
Kwahy mahitaji ya miaka ile n sawa na mahitaji ya mwaka huu?Nakumbuka Wakati TANU inazaliwa pale Mwananyamala A kwa mzee Mwinjuma ilikuwa haina hata cent Moja
Chadema imezaliwa Upya Fedha siyo kikwazo Cha wao kuwa Imara zaidi 😄
Wakati ule yalikuwa zaidiKwahy mahitaji ya miaka ile n sawa na mahitaji ya mwaka huu?
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Mpaka akimbilie Ubeleji!Ndani ya miaka 5 iliyopita mh.Katibu Mkuu wa. cHADEMA ndg.John Mnyika amesema kuwa walipata RUZUKU bilioni 12.5....yaani hizi zote zilitumika na kuisha ?!!!
TL aelewe kuwa kazi ya kuuona ufukara wa CHADEMA ndio imeanza hivyo kwani wale wafanyabiashara "piga ua CDM" pale kariakoo wamejiapiza kuwa hawatatoa tena michango yao kwa mwenyekiti wa CDM ambaye ni "wa kuja na asiyeamini katika GENERAL OBJECTIVES za kuanzishwa chama hicho ".
Ni muda wa kuendelea kusikilizia maumivu ya UKATA wa kutisha hapo viungani CHADEMA ...
Sasa kungekua na pesa mbowe angetoa 250m kwa ajili ya uchaguzi?Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Lissu ana matatizoMwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
mkuu hela gani?Mchaga akuachie hela? Yaani CDM watachukua muda ku recover. Lakini sasa hivi chama kitajengwa kweli.