Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
huyu kibaka tapeli wa siasa ndio anapita kwenye upigaji ule ule wa pesa za chama alokua analalamikia na kulaumu wengine, halafu kinafiki anakuja kupiga mayowe hadharini eti ng'we ng'we ng'we chama hakina pesa, alaaaaa!šŸ’
Hahaha naona mimba aliyokupa lisu inakutia kichefuchefu
 
Siku ukijifungua tupe mrejesho tukuletee babyshoo, hahahaa
na kama wazalendo wa Taifa hili tutaendelea kuwaelimisha nyote kujiepusha kutapeliwa na vibaka wa kisiasa,

Mkishupaza shingo na mkatapeliwa pesa na mambo mengine basi inakua ni viherehere vyenu tu šŸ’
 
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"


Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
TALl hafai kupewa nchi maana ana maneno maneno sana, chuki, hasira, wivu na jaziba za ajabu ajabu
 
Kuna kauli ya Lissu alisema kuna kipindi chama kinaishiwa kabisa pesa na wakati huohuo inatakiwa ifanyike mikutano, walichokiwa wanafanya wanampa majukumu mwenyekiti mbowe atafute Pesa haraka, bila kinyongo Mwamba alikuwa anatafuta pesa na kuleta chaman na kazi ya mikutano inaendelea
 
Hati safi ya mahesabu ikatolewa na CAG (Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Umma kama ruzuku ), naye bila hiyana chini ya awamu ya 5 ya Magufuli na awamu ya sasa ya sita ya utawala wa rais Samia Hassan, CAG pamoja na kuelekezwa lakini ikawa vigumu na hivyo kwa haki kabisa kutoa hati hizo mwaka hadi mwaka bila kuweka angalizo lolote.


Pia Msajili wa Vyama Vingi Vya Siasa pamoja na kupekua vipengele vya kisheria, kanuni na maagizo lakini hakuona aina yoyote ya kuweza kukibana chama cha CHADEMA kwa kuwa mambo yote yameendeshwa kwa mujibu wa katiba na utaratibu wa chama.

TAKUKURU nao kwa kutumia njia zao za medani hawakuweza kuona dosari yoyote ya matumizi mabaya ya ofisi za chama kikuu CHADEMA ili kupunguza makali ya ushindani dhidi ya Chama Dola Kongwe Tawala CCM.

Uongozi mpya ulioingia sasa inabidi kuwa wabunifu wa kuhamashisha wanachama wengi wajiunge na pia kuwaondoa wafadhili hofu kwamba wanaweza kuichagia CHADEMA michango, donation, charity, matembezi ya kukusanya fedha n.k bila ya kuongopa serikali ya CCM na vyombo vyake kuwasumbua wafadhili wawe wafanyabiashara, matajiri n.k

Hilo la kuwahamasisha watanzania wote, wa madaraja yote ndilo jambo kuu uongozi mpya ndani ya CHADEMA inatakiwa walifanyie kazi kwa haraka sana ili kupata rasilimali fedha.
Ila kiukweli Mwamba alikuwa ana mipango mingi sana ya kutafuta pesa, aliaminika sana wafanyabiashara wenzake kwahiyo mambo yalikuwa mepesi sana kwa chama
 
Ila kiukweli Mwamba alikuwa ana mipango mingi sana ya kutafuta pesa, aliaminika sana wafanyabiashara wenzake kwahiyo mambo yalikuwa mepesi sana kwa chama
Sahihi kabisa na kukopesheka anakopesheka

Lisu hakopesheki akikopa harudishi hata mia

Wenje alimkopesha miaka sasa Lisu hela hajarudisha hata mia

Mbowe alikuwa akienda mahali kukopa chapchap wanampa

Sasa hivi Chadema imejaa viongozi maskini watupu kule kamati kuu ambao hata shughuli zao za kuingiza kipato za mashaka mashaka nani awakopeshe hata wakitaka kukopa? Hawakopesheki kuanzia Lisu Mwenyewe
 
Kwa taarifa tu ni kwamba Nyerere alinunuliwa tiketi ya kwenda UN na mzee Aikaeli Mbowe, baba yake Freeman Mbowe.
So akina Mbowe wameanza kitambo tu kuvifadhili vyama vya siasa
Hizi story zenu za kuokoteza zinashangaza, kwanza sina ubishi kuwa baba yake Freeman alikuwa na ukwasi ila sio yeye aliyechangia pesa kwa kiasi kikubwa kusaidia safari ya Nyerere.

Pesa iliyohitajika ilikuwa elfu kumi na mbili na kamati ya kusimamia zoezi la kukusanya michango ya wanachama iliongozwa na Abdul Kandoro, Japhet Kirilo na Abdu Sykes.

John Rupia ndio alitoa 1/3 katika mchango huo ila bado pesa haikutosha ikabidi pesa ifuatwe kwa siri kwa wanachama wengine wa TANU mkoa wa Tanga waliochangia wengine katika wanachama waliojulikana ni Dossa Aziz.
 
Nakumbuka Wakati TANU inazaliwa pale Mwananyamala A kwa mzee Mwinjuma ilikuwa haina hata cent Moja

Chadema imezaliwa Upya Fedha siyo kikwazo Cha wao kuwa Imara zaidi šŸ˜„
Kwahy mahitaji ya miaka ile n sawa na mahitaji ya mwaka huu?
 
Mbowe na genge lake la wahuni itakuwa wamekwapua pesa za chama na kukimbia nazo
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"


Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
 
Lissu read between the lines,wafuate wenye nazo wakusaidie mapema.
Wapo "Elon Musk" wa Kitanzania wakupige tafu.
Bila pesa utachelewa sana.
Anza na Mangi wafanyabiashara wa Kariakoo inabidi uwaombe msamaha wa dhati,na ukemee wafuasi wako kuwadhihaki wale wenye mtizamo tofauti.
Kumbuka mwaka huu unapambana kuimalisha chama matawini/mashinani nchi nzima unahitaji sio chini ya B25 sh za kitanzania.
Bado unahitaji kusimamisha wagombea madiwani karibu kata zote Tanzania bara,kusimamisha wagombea ubunge karibu majimbo yote na pia Mgombea Uraisi,inahitajika pesa nyingi.
Funguka your swimming against the tide.
 
Anao-wahutubia wanaonekana njaa Kali sanašŸ™†šŸæā€ā™‚ļø
 
Ndani ya miaka 5 iliyopita mh.Katibu Mkuu wa. cHADEMA ndg.John Mnyika amesema kuwa walipata RUZUKU bilioni 12.5....yaani hizi zote zilitumika na kuisha ?!!!

TL aelewe kuwa kazi ya kuuona ufukara wa CHADEMA ndio imeanza hivyo kwani wale wafanyabiashara "piga ua CDM" pale kariakoo wamejiapiza kuwa hawatatoa tena michango yao kwa mwenyekiti wa CDM ambaye ni "wa kuja na asiyeamini katika GENERAL OBJECTIVES za kuanzishwa chama hicho ".

Ni muda wa kuendelea kusikilizia maumivu ya UKATA wa kutisha hapo viungani CHADEMA ...
Mpaka akimbilie Ubeleji!
 
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"


Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Sasa kungekua na pesa mbowe angetoa 250m kwa ajili ya uchaguzi?
Ushaanza umbea
 
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Nisiwadanganye, tunahitaji fedha kwenye Chama za kufanyia shughuli. Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, wiki ijayo nimeambiwa tutafanya huo utaratibu wa namna ya kupata fedha za Chama. Msiniulize Mwenyekiti umekuta nini huko ulipoingia kwasababu sitajibu na sitajibu kwasababu jibu halitakuwa zuri sana"


Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Lissu ana matatizo

Failure zimeanza

Tusisikie anasingiziwa yeyote alie staafu.....

ruzuku inaingia kila mwezi tarehe 30,haya mengine ni ujanja wa kukwepa majukumu kisenge sana
 
Mchaga akuachie hela? Yaani CDM watachukua muda ku recover. Lakini sasa hivi chama kitajengwa kweli.
mkuu hela gani?

cdm haijengi pesa mahali labda kuna biashara inaleta pesa

ni total ruzuku inayoingia kila mwezi tarehe moja

zinatumika zote zinaisha mwezi huo huo wanasubiri zingine

sasa FAM kaondoka na hela zipi wakati ruzuku inatumika yote siku hiyo hiyo inaisha?

mnaongea as if cdm ni serikali ina TRA inayokusanya hela masaa 24 kila saa kuna hela useme FAM kazichukua?

ni ruzuku,no other source ya hela maana cdm haina biashara,na michango ya bakuli wanalopitisha kila siku

hapa naona lissu anatafuta visingizio vya kisenge sana kuhusu pesa,yeye aumize kichwa jinsi ya kutafuta hela za ziada

na mambo ya fedha lissu ana sifuri kabisa hajui definition ya "money"!
 
Back
Top Bottom