Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
dah,Ukikaa naye kidogo tu au kumzoea kidogo tu asipokuomba pesa sio Lisu itakuwa photocopy
Ukimpa namba yako jiandae kuombwa hela
aise!
sijawahi kuona mtu wa Singinda anaomba na kupiga vizinga kama huyo muungwana,
ebana anapiga mdomo, huchomoki lazima utaacha tu mkwanja, anaomba mpaka jero 🐒