Tundu Lissu: Upinzani tumechanganya sana Watu, tunahitaji kiongozi ambaye akisema neno anaaminika

Tundu Lissu: Upinzani tumechanganya sana Watu, tunahitaji kiongozi ambaye akisema neno anaaminika

Was that wrong? Mtu anakwambia njoo tuongee na anaonesha dalili kuwa yuko serious, kama wewe unakataa kwa sababu ipi? Huku kukengeuka kwa samia ni baada ya machawa kumjaza upepo na kwa vile hana personal thinking, akakengeuka.
Ndiyo maana kuna mabaraza ya kata katika ardhi kuleta maidhiano bila kufika mahakamani.........
sasa ameisha onesha her true coluors, sasa pendekeza nini kifanyike? Maandamano ndiyo njia rahisi ya kuwaweka kitimoto watawala. sasa mimi na wewe tunaogopa kufa, MBOWE afanyeje?
Jana Polisi walikataz amkutano wa Lisu, lifanya nini? Unafanya nini mbele ya polisi wauaji? hatuna ubavu wa kufa kama waknya/bangladesh, Mbowe afanyeje?
Kuna shida hapa, tuache kudanganya hadhira. Kukengeuka kwa Samia kulitokana na Lissu. Maana makubaliano yalikuwa Samia aachiwe Urais na akina Mbowe waachiwe Majimbo. Lissu alipopata hizo habari, akaja juu kuwa naye anataka kugombea urais. Hapo ndipo maridhiano yalipoishia.
 
Kuna shida hapa, tuache kudanganya hadhira. Kukengeuka kwa Samia kulitokana na Lissu. Maana makubaliano yalikuwa Samia aachiwe Urais na akina Mbowe waachiwe Majimbo. Lissu alipopata hizo habari, akaja juu kuwa naye anataka kugombea urais. Hapo ndipo maridhiano yalipoishia.
Sasa ulitaka nani akubaliane na upuuzi kama huu? Yaani chama cha siasa kikubali kushiriki uchaguzi kwenye nafasi za ubunge na udiwani tu? Bora Lisu alivyoamua kuvuruga
 
LISU UNAROPOKA........ LISU UNAROPOKA......LISU UNAROPOKA.
Nilishasema Lissu hana washauri na akienda kwenye media anaropoka tu Kama Siasa ameanza juzi.

Story Kama hizi angewaachia kina Abdul Nondo tu
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”

Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
Lisu anafaa sn
 
Safu nzima ya Uongozi wa Chadema inabidi iachie ngazi wameshapoteza credibility kuanzia 2015

kuanzia Lisu Mbowe na wote walioshiriki kumkaribisha Lowasa 2015, huku akiwa kwenye list of shame ya chadema
Na viongozi hao hao walituaminisha ni fisadi ghafla akawa mgombea uraisi
DR. Slaa ndo pekee alisimamia alichokiamini
Baada mpango wao kufeli 2015
Walikuwa na option mbili kujiuzulu ili kulinda credibility ya chama au kubaki na kukiua chama

Bahati mbaya wakachagua kukiua chama na kimeendelee kufa taratibu mpaka Leo mkiti anajikuta kwenye maandamano mwenyewe

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”

Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
 
Nilishasema Lissu hana washauri na akienda kwenye media anaropoka tu Kama Siasa ameanza juzi.

Story Kama hizi angewaachia kina Abdul Nondo tu
nimemshangaa sana tena sana. hata ile issue ya kesi yake asingeliisema muda huu kwa kadamnasi. That was supposed to be a secret, a top secret! All in all he is my choice of a better politician..... and chadema as a whole! Erythrocyte
 
Kweli kabisa, washapoteza credibility yao kabisa. Tangu kwa Lowassa.
Lowasa aliwashauri vizuri.

Waache uwanaharakati.

Hao ni wanaharakati hakuna chama cha siasa hapo.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akihojiwa na Kituo cha NTV cha Kenya amesema “Upinzani unahitaji kuwa na Uongozi wenye maono makubwa na yasiyokuwa na mawenge tofauti na ilivyokuwa hapo Katikati.”

Aidha, Lissu amezungumza kuhusu nafasi ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA baada ya kuulizwa kuwa licha ya yeye kuwa na mpango wa kuwania pia inadaiwa Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe naye ana mpango wa kuwania Urais.
Ukiweka unafiki pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu kwamba Freeman Mbowe ni mtu ambaye Hana misimamo thabiti inayoeleweka. Hii no hatari Sana kwa mtu kama yeye ambaye mwenye mamlaka ya kuwaongoza watu kwenye jamii. Ni LAZIMA Sana kwa mtu kiongozi kuwa na misimamo inayoeleweka na/au misimamo isiyoyumba. Ila Mbowe amekuwa kama kinyonga, 'ran
 
nimemshangaa sana tena sana. hata ile issue ya kesi yake asingeliisema muda huu kwa kadamnasi. That was supposed to be a secret, a top secret! All in all he is my choice of a better politician..... and chadema as a whole! Erythrocyte
Ila ana utoto ni kama akipewa kipaza sauti anakuwa na wenge mpaka anajiingiza kwenye kundi la wasema hovyo.

Ajaribu kuongea na kufikiri Kama kiongozi basi.

Lissu ananitia wasiwasi sana
 
Ila ana utoto ni kama akipewa kipaza sauti anakuwa na wenge mpaka anajiingiza kwenye kundi la wasema hovyo.

Ajaribu kuongea na kufikiri Kama kiongozi basi.

Lissu ananitia wasiwasi sana
yuko vizuri kichwani, lakini ni kama ana overdo some issues. Kesi yake asingelisema mbele za watu. Ile ni siri kubwa, amewapa tigo na serikali muda wa kujiandaa kukabiri. NILIMSHANGAA SANA TENA SANA
 
Walioua upinzani ni wao wenyewe, kupinga kila kitu. JPM effect itaendelea kuwatafuna hadi wakiri hadharani.
 
Back
Top Bottom