Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Walimuita kistaarabu wakajua ni muungwana mwenye hashima zake ataitika akipata wasaa... Bahati mbaya kabla kuitika akaona maisha yako hatarini akakimbilia ubalozin akatiimua

Kumbuka vizuri huyo balozi alimchukuwa wapi , wacha kupakazia
 


Umeandika

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?.

Mbona huku Zanzibar hao ndio vinara wa machafu mengi tu toka 1964 au unatafuta mlo kwa mama ??
 
Nakubaliana kwa kiasi fulani na hoja hii.
Lisu kaketi na kuongea na mama Samia huko Ubelgiji.
Anayosema Lisu hawakuyaongea?
Kama sivyo waliongea nini haswa!
Body language ya mkutano ule ni kwamba wasiojulikana sasa hawapo na waliondoka na mtangulizi wa mama Samia.
Na experience ya mwaka huu mmoja imedhihirisha hili.
Nia ya Lisu , aidha ni political capital juu ya suala lenyewe-kitu ambacho kina ukakasi, au Lisu anataka waliohusika wapelekwe mahakamani, suala ambalo ni vema likafanyika ingalau gumu kulitekeleza.
 
Keshaeleweka

Tatizo Hana jipya…. Ni hoja hiyohiyo tuuuuu

Hata akiulizwa swali la uzazi wa mpango, ataingiza joja za kipilimba, posho zake, usalama wake na kudhani mama Samia hataki kuachana na na ya magu

Na kuhusu idadi ya 400 people waliokufa, nadhani kuna changamoto pale - hivi wale jamaa waliokimbilia Delgado bila mkono wa chuma tungewezA kuwakimbuza?
 
Alianza na JPM ndio katuma watu kumuua... sasa hivi karukia kwa Kipilimba baadae atahamia kwa Samia.... ndio huwa namwona Samia mama yetu ni kiazi tu kuwapa waha kenge open room ...anajitia mama maridhiano hata kwa mambo ya kijinga.
 
Sijawahi amini kama jamaa alikuwa mchungaji kweli. Siamini na sintaamini. Bila shaka alikuwa akichunga kundi la tiss
Mtu amejitolea uhai wake kuwalindeni ninyi na maslahi yenu, tena kwauaminifu wote, leo mnamtuhumu, hivi mnachokifanya mnakifahamu?

Mnaungana na maadui wa taifa ambao wameshindwa kulinda matamanio yao kuwavunja moyo watu ambao wapo macho masaa yote for 60 years nchi ikawa kama ilivyo?

Mungu na akawalaani ninyi kizazi chenu na wenye haiba kama zenu nyote; mipango yenu miovu ikavurugike na kusambaratika, mkawe aibu mbele ya mataifa na watanzania kwa umoja wao wakawakatae na kuwazodoa. I declare and decree in the name of the most high God, Jesus Christ of Nazareth; Mungu ambaye yeye amemtumikia kwa uaminifu wake wote. Na sasa ikadhihirike wazi kati yake na ninyi nani ni wa upande wa usaliti kwa taifa lake, Amen!
 
Bila shaka na yeye ndiye mshirika wao
 
Usalama wa Taifa kazi zao ni zipi? KUVAA MASHATI YA CCM TU? Wajitokeze sasa na kutueleza ni akina nani walipiga risasi Lissu.
Si bosi wenu lissu ameshawataja au nayeye hamna uhakika naye!!??
 
Mama Samia hayupo kuhangaika na mtu mmoja, yeye kama Rais wa Nchi alishasema Nchi iko salama na ni mahali salama kwa Watanzania wote kuishi kwa amani, nini cha ziada akiongee?
 
Reactions: Ame
Alianza na JPM ndio katuma watu kumuua... sasa hivi karukia kwa Kipilimba baadae atahamia kwa Samia.... ndio huwa namwona Samia mama yetu ni kiazi tu kuwapa waha kenge open room ...anajitia mama maridhiano hata kwa mambo ya kijinga.
Nakubaliana na wewe except hilo la kumkashifu Rais. Kama yeye ni kiazi watanzania waliomwamini ni viazi zaidi yake...
 

Ninachojua hao unaowaita wenye roho
nzuri mrabaha wa kubadili gia angani umewatokea puani. Lissu alichangiwa matibabu hana budi kurudisha fedha za stahiki yake ya matibabu anayo dai Bunge kwenye charity ili zisaidie wahanga wengine wa maandamano walioko cdm na wasio na watu wa kuwasemea ili wasaidiwe. Kama hiyo huko kwenu ndio mnaita chuki nakupa pole nyingi sana.
 
Analiponya taifa kutoka kwa nani aliyelifanya liumwe?
Hawa si ndo machawa dume yaliyobaki ,leo hii mtu kama huyu ninwakusema mama analiponya taifa kweli!!! Wakati kipindinkile kilasiki ni kuandika makala za kumuunga mkono mzee.
 
Huyu kipilimba anatajwa katika uovu mwingi sana nchi hii, ni wakati wa nae kushughulikiwa atambue kuwa kila anaeua kwa upanga nae atakufa kwa upanga
 

Karma unayoongelea, waswahilihuita "Dua la kuku." Kama sisi kama nchi tutegemee, kwanini basi magereza yasifunguliwe, mahakama zikifutwa, na polisi na majeshi vikawa abolished tukaiachia karma kuchukua mkondo wake?

Kwamba aliyopitia Lissu ni mazito na hayapaswi kubagazwa? Labda huo ndiyo uliopaswa kuwa msingi wa hoja yako vinginevyo unabakia kuwa ukakasi mtupu.

Kwamba risasi ngapi zingehitajika? Kwani kwa Hamza au Kombe walitumia ngapi?

Tuachane na wazungu wa nani hii hawa mjomba:

Your browser is not able to display this video.


Hawa waliamuru Lissu kuuwawa. Yumkini amri hiyo ingalipo. Lissu anahitajika kuhakikishiwa kama amri hiyo haipo tena.

Kwani Charles Snowden anaweza rejea Marekani bila hakikisho la usalama wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…