Tuna hasira nao sana hao watu mtaani wakifahamika wanaweza kuchomwa moto wao na familia zao!Mwenye orodha ya kikosi kazi aweke humu
Pascal utaacha lini kujipendekeza hata pasipostahili?Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.
Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.
Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.
Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!
Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...www.jamiiforums.com
Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.
kwenye bandiko hilo nilisemaAsante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
Wanabodi, Hii ni Nipashe ya wiki iliyopita Wanabodi, Hili ni bandiko la Pongezi kwa Rais wetu, Mama Samia. Kama mtu uliwahi kuandika kuhusu jambo fulani, halafu hilo jambo likafanyika, kwa jinsi ile ile ulivyoandika na ulivyoshauri, hata kama halikufanyika kwasababu ya andiko lako au ushauri...www.jamiiforums.com
P
Amri ilishafutika baada ya yule shetani wenu wa chato kufutika.Kama ni kweli kuna "kikosi kazi" basi kama amri hiyo amri ya "Eliminate" Lissu haijatenguliwa bado, ajichunge.
Nani wa kuifuta?
Tundu Lissu kama ni muadilifu aseme fedha za stahiki zake ni shilingi ngapi? Na je akilipwa atazipeleka kwenye charity gani? Walitangazia ulimwengu wote wako watu walifanya chariy kumeet gharama zake baada ya serikali kuzuia hizo stahiki zake. Analazimika kwa uungwana tu hizo stahiki zake anazo idai serikali kuzirudisha kwenye charity.
Kwamba ulikuwepo au maelezo ya Lissu ni ushahidi unajitosheleza?Nasisitiza alichokisema Tundu Lissu hapa ni Ukweli mtupu tena kwa 100% ila ukiwa Mnafiki, Zuzu na Mfia Chama Cha Mauaji kamwe huwezi Kukubaliana nae.
Na wao walikuwa wanapinga udikteta kama Lissu ?wengi tu,na mamlaka Yao yanaruhusu in the name of security threat
Hivi kwa akili yako kuna gaidi aliuawa mkuranga ?Angeishia alivyoshambuliwa
Kutetea kibiti na mkuranga nimemdharau sana
Tusimsahau ssh naye ni shehemu ya uovu huo ndio maana anaongea lugha yao eti upelelezi hauwezi kufanyika mpaka Lissu awepoHatimaye wasiojilina sasa washajulikana, ukishampata Kipilimba basi utakuwa ushawapata wapendwa wetu wote waliopotea ama kuumizwa kwa nyakati tofauti toka 2015 hadi 2021.
Sehemu ya kuanzia ishapatukana.
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!Pascal
Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,
Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?
Au unataka kujifanya haukusikia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?
Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?
Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguziNa ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni fanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.
Wewe Pascal, lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
God of Nazareth anahusika vipi ,Hivi haya mauwaji Na mateso Itakuwa wewe ni katika watu wa kikosi kaziMtu amejitolea uhai wake kuwalindeni ninyi na maslahi yenu, tena kwauaminifu wote, leo mnamtuhumu, hivi mnachokifanya mnakifahamu?
Mnaungana na maadui wa taifa ambao wameshindwa kulinda matamanio yao kuwavunja moyo watu ambao wapo macho masaa yote for 60 years nchi ikawa kama ilivyo?
Mungu na akawalaani ninyi kizazi chenu na wenye haiba kama zenu nyote; mipango yenu miovu ikavurugike na kusambaratika, mkawe aibu mbele ya mataifa na watanzania kwa umoja wao wakawakatae na kuwazodoa. I declare and decree in the name of the most high God, Jesus Christ of Nazareth; Mungu ambaye yeye amemtumikia kwa uaminifu wake wote. Na sasa ikadhihirike wazi kati yake na ninyi nani ni wa upande wa usaliti kwa taifa lake, Amen!
Mwenye orodha ya kikosi kazi aweke humu
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguzi
Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...www.jamiiforums.com
Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia mitandao ya kijamii positively as source of a security tip ya vital information kuhusu uchunguzi mbalimbali. Usisubiri hadi mtu akaripoti polisi kuhusu...www.jamiiforums.com
WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Wanabodi Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo miongoni mwetu sisi wana JF, pale inapotokea serikali yetu imeshindwa jambo fulani, kwa wale wenzetu wenye uwezo, jee tuwajibike kuisaidia serikali yetu au kusubiri mpaka ishindwe, halafu kazi yatu iwe ni kuikosoa tuu, kuibeza na kuizomea kuwa...www.jamiiforums.com
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa. Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji...www.jamiiforums.com
Mabandiko hayo ni uthibitisho wangu kulisaidia taifa kwenye hii issue ya wasiojulikana.
P
Mimi sio nimo, kuna vitu mimi viko kwenye damu, born and bred mumo humo.Pascal kumbe nawe umo?
Hiyo amri ya kuwaua hao uliowataja ilitolewa na nani, lini na wapi?Bila sababu za msingi amri halali kiutaratibu ya kumwua Lissu kama ilivyokuwa kwa kina Ben, Mawazo na wengine ilitolewa.
Tofautisha nchi kuwa salama na amri ya kumwua mtu kutolewa.
Vipi amri hiyo ilishaondolewa? Anayetoa amri kama hizo ni Sirro?
NAMPINGA LISSU KWA HOJA: 1. Yeye ni mwanasheria anajua umuhimu wa ushahidi kabla ya kutoa tuhuma. Yeye amezungumza tu sawa na mwendawazimu yeyote anavyoweza kuzungumza barabarani, kwani hana ushahidi wowote ambao mimi au wewe utauamini.
2. Lissu, alikuja nchini hapa 2020 na kafanya kampeni nchi nzima. Kazungumza alichotaka ikiwemo kumshambulia Dk. Magufuli ambaye alikuwa Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Lakini watu walimpuuza. Hicho kikosi anachokijua yeye kingekuwepo na huo ubaya anaouzungumza kingemkosa?
3. Kwa hiyo hapa sioni LOGOS ( maana hakuna facts kwa hata nyaraka moja, hivyo pia sioni logic, zaidi ya maneno MINGI.
4. Lissu, ni mwanasheria hivyo anapaswa kujua utendaji kazi wa mamlaka ya Rais na mihimili mingine. Ndiyo Good governance. Rais siyo mtunza fedha za pensheni au malipo ya wabunge. Ndiyo maana Rais kamjibu atalifanyia kazi. Kuna Bunge, wanasheria lazima wachambue taratibu. Yaani Rais arudi tu aseme Lissu alipwe! No way!
5. Mwisho na kwa umuhimu; Lissu awe na nidhamu anapojadili kitu kumhusu Rais au mamlaka nyjngine halali za nchi. Lissu hana nidhamu ya ulimi na ubongo ndiyo maana aliwahi kumjadili Baba wa Taifa kirahisi.[emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaaaa! Lisu anatafuta kiki tu!
Samahani lakini makamanda.
Mimi sio nimo, kuna vitu mimi viko kwenye damu, born and bred mumo humo.
P
hii ndio shida ya huyu dogo Pascal amekuwa ni mtu wa kutegesha tu ili anase lakini mitego yake ilishakwama siku nyingi tangu enzi za kakayake MEKO alisha mchana LIVE kuwa kikwao Malaya..oops!!! sorry MAYALA ni NJAA KALI hivyo dogo njaa yake mpaka leo hii naona haijaisha bado anajipendekeza tu kwa mama nae alisha msoma kwamba ni MUNAFIKUNA na hana mpango nae kabsaa hata wa kumpachika ujumbe wa mtaa. MAYALA njaa itammuuaPascal utaacha lini kujipendekeza hata pasipostahili?
Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,
Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?
Au unataka kujifanya haukusia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?
Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?
Na ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni kufanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.
Ama kuhusu Rais kukutana na Lissu ni kweli ameonesha nia ila bado kuonesha nia haitoshi bali ni vema nia hiyo ikaandamana na matendo ya kujitenga na uovu. Ilipaswa hata kama ni kwa "kuzuga" Lissu angeoneshwa japo dalili za serikali kuwa kinyume au kutowabeba wale wanaotuhumiwa katika sakata hili.
Wewe Pascal kujipendekeza pasipostahili punguza na zaidi lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
Mnafiki Juha huyo achana nae tafadhali.Ni kweli ulichokion
Hakika Paschal na aache unafiki uliokithiri. Aje akujibu swali la msingi hilo,
Je mbunge Bashe, Nape, na wengineo hakuwahi kuwasikia wakiwa wanalia bungeni kulalamikia hivyo vyombo nyeti vya usalama juu ya utesaji na mauaji?
Kama kweli wanasingiziwa ni lini walikwisha toka na maelezo thabiti ya kujisafisha na tuhuma hizo.
P. aache unafiki.