Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.

Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.

Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.

Mimi kwa upande wangu naendelea kusisitiza Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Pia Lissu niliisha mshauri na namshauri tena, ajifunze kunyamaza.


Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.

kwenye bandiko hilo nilisema

P
Pascal utaacha lini kujipendekeza hata pasipostahili?

Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,

Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?

Au unataka kujifanya haukusia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?

Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?

Na ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni kufanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.

Ama kuhusu Rais kukutana na Lissu ni kweli ameonesha nia ila bado kuonesha nia haitoshi bali ni vema nia hiyo ikaandamana na matendo ya kujitenga na uovu. Ilipaswa hata kama ni kwa "kuzuga" Lissu angeoneshwa japo dalili za serikali kuwa kinyume au kutowabeba wale wanaotuhumiwa katika sakata hili.

Wewe Pascal kujipendekeza pasipostahili punguza na zaidi lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
 
Kama ni kweli kuna "kikosi kazi" basi kama amri hiyo amri ya "Eliminate" Lissu haijatenguliwa bado, ajichunge.

Nani wa kuifuta?
Amri ilishafutika baada ya yule shetani wenu wa chato kufutika.
 
Tundu Lissu kama ni muadilifu aseme fedha za stahiki zake ni shilingi ngapi? Na je akilipwa atazipeleka kwenye charity gani? Walitangazia ulimwengu wote wako watu walifanya chariy kumeet gharama zake baada ya serikali kuzuia hizo stahiki zake. Analazimika kwa uungwana tu hizo stahiki zake anazo idai serikali kuzirudisha kwenye charity.

Wewe ulichanga ngapi ndugu?
 
Nasisitiza alichokisema Tundu Lissu hapa ni Ukweli mtupu tena kwa 100% ila ukiwa Mnafiki, Zuzu na Mfia Chama Cha Mauaji kamwe huwezi Kukubaliana nae.
Kwamba ulikuwepo au maelezo ya Lissu ni ushahidi unajitosheleza?
Mbona hujibu swali
 
NAMPINGA LISSU KWA HOJA: 1. Yeye ni mwanasheria anajua umuhimu wa ushahidi kabla ya kutoa tuhuma. Yeye amezungumza tu sawa na mwendawazimu yeyote anavyoweza kuzungumza barabarani, kwani hana ushahidi wowote ambao mimi au wewe utauamini.

2. Lissu, alikuja nchini hapa 2020 na kafanya kampeni nchi nzima. Kazungumza alichotaka ikiwemo kumshambulia Dk. Magufuli ambaye alikuwa Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Lakini watu walimpuuza. Hicho kikosi anachokijua yeye kingekuwepo na huo ubaya anaouzungumza kingemkosa?

3. Kwa hiyo hapa sioni LOGOS ( maana hakuna facts kwa hata nyaraka moja, hivyo pia sioni logic, zaidi ya maneno MINGI.

4. Lissu, ni mwanasheria hivyo anapaswa kujua utendaji kazi wa mamlaka ya Rais na mihimili mingine. Ndiyo Good governance. Rais siyo mtunza fedha za pensheni au malipo ya wabunge. Ndiyo maana Rais kamjibu atalifanyia kazi. Kuna Bunge, wanasheria lazima wachambue taratibu. Yaani Rais arudi tu aseme Lissu alipwe! No way!

5. Mwisho na kwa umuhimu; Lissu awe na nidhamu anapojadili kitu kumhusu Rais au mamlaka nyjngine halali za nchi. Lissu hana nidhamu ya ulimi na ubongo ndiyo maana aliwahi kumjadili Baba wa Taifa kirahisi.🙏🙏🙏
 
Hatimaye wasiojilina sasa washajulikana, ukishampata Kipilimba basi utakuwa ushawapata wapendwa wetu wote waliopotea ama kuumizwa kwa nyakati tofauti toka 2015 hadi 2021.

Sehemu ya kuanzia ishapatukana.
Tusimsahau ssh naye ni shehemu ya uovu huo ndio maana anaongea lugha yao eti upelelezi hauwezi kufanyika mpaka Lissu awepo
 
Pascal

Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,

Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?

Au unataka kujifanya haukusikia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?

Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni fanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.

Wewe Pascal, lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguzi





Mabandiko hayo ni uthibitisho wangu kulisaidia taifa kwenye hii issue ya wasiojulikana.

P
 
Mtu amejitolea uhai wake kuwalindeni ninyi na maslahi yenu, tena kwauaminifu wote, leo mnamtuhumu, hivi mnachokifanya mnakifahamu?

Mnaungana na maadui wa taifa ambao wameshindwa kulinda matamanio yao kuwavunja moyo watu ambao wapo macho masaa yote for 60 years nchi ikawa kama ilivyo?

Mungu na akawalaani ninyi kizazi chenu na wenye haiba kama zenu nyote; mipango yenu miovu ikavurugike na kusambaratika, mkawe aibu mbele ya mataifa na watanzania kwa umoja wao wakawakatae na kuwazodoa. I declare and decree in the name of the most high God, Jesus Christ of Nazareth; Mungu ambaye yeye amemtumikia kwa uaminifu wake wote. Na sasa ikadhihirike wazi kati yake na ninyi nani ni wa upande wa usaliti kwa taifa lake, Amen!
God of Nazareth anahusika vipi ,Hivi haya mauwaji Na mateso Itakuwa wewe ni katika watu wa kikosi kazi
 
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguzi





Mabandiko hayo ni uthibitisho wangu kulisaidia taifa kwenye hii issue ya wasiojulikana.

P

Pascal kumbe nawe umo?
 
Bila sababu za msingi amri halali kiutaratibu ya kumwua Lissu kama ilivyokuwa kwa kina Ben, Mawazo na wengine ilitolewa.

Tofautisha nchi kuwa salama na amri ya kumwua mtu kutolewa.

Vipi amri hiyo ilishaondolewa? Anayetoa amri kama hizo ni Sirro?
Hiyo amri ya kuwaua hao uliowataja ilitolewa na nani, lini na wapi?
 
Kuwajua wahusika waliompiga lisu risasi hakuitaji uwe na elimu hata ya chekechea.
Vinginevyo watuambie wameshindwa kutulinda na hatuko salama
NAMPINGA LISSU KWA HOJA: 1. Yeye ni mwanasheria anajua umuhimu wa ushahidi kabla ya kutoa tuhuma. Yeye amezungumza tu sawa na mwendawazimu yeyote anavyoweza kuzungumza barabarani, kwani hana ushahidi wowote ambao mimi au wewe utauamini.

2. Lissu, alikuja nchini hapa 2020 na kafanya kampeni nchi nzima. Kazungumza alichotaka ikiwemo kumshambulia Dk. Magufuli ambaye alikuwa Mkuu wa nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu. Lakini watu walimpuuza. Hicho kikosi anachokijua yeye kingekuwepo na huo ubaya anaouzungumza kingemkosa?

3. Kwa hiyo hapa sioni LOGOS ( maana hakuna facts kwa hata nyaraka moja, hivyo pia sioni logic, zaidi ya maneno MINGI.

4. Lissu, ni mwanasheria hivyo anapaswa kujua utendaji kazi wa mamlaka ya Rais na mihimili mingine. Ndiyo Good governance. Rais siyo mtunza fedha za pensheni au malipo ya wabunge. Ndiyo maana Rais kamjibu atalifanyia kazi. Kuna Bunge, wanasheria lazima wachambue taratibu. Yaani Rais arudi tu aseme Lissu alipwe! No way!

5. Mwisho na kwa umuhimu; Lissu awe na nidhamu anapojadili kitu kumhusu Rais au mamlaka nyjngine halali za nchi. Lissu hana nidhamu ya ulimi na ubongo ndiyo maana aliwahi kumjadili Baba wa Taifa kirahisi.[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mimi sio nimo, kuna vitu mimi viko kwenye damu, born and bred mumo humo.
P

Walau isiwe kwenye damu Kuna kutesa Na kuwaua binadamu wenzako, mmaisha ni mafupi Na mifano ni mingi tunaiona malipo yake mwisho huwa vipi
 
Pascal utaacha lini kujipendekeza hata pasipostahili?

Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,

Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?

Au unataka kujifanya haukusia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?

Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?

Na ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni kufanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.

Ama kuhusu Rais kukutana na Lissu ni kweli ameonesha nia ila bado kuonesha nia haitoshi bali ni vema nia hiyo ikaandamana na matendo ya kujitenga na uovu. Ilipaswa hata kama ni kwa "kuzuga" Lissu angeoneshwa japo dalili za serikali kuwa kinyume au kutowabeba wale wanaotuhumiwa katika sakata hili.

Wewe Pascal kujipendekeza pasipostahili punguza na zaidi lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
hii ndio shida ya huyu dogo Pascal amekuwa ni mtu wa kutegesha tu ili anase lakini mitego yake ilishakwama siku nyingi tangu enzi za kakayake MEKO alisha mchana LIVE kuwa kikwao Malaya..oops!!! sorry MAYALA ni NJAA KALI hivyo dogo njaa yake mpaka leo hii naona haijaisha bado anajipendekeza tu kwa mama nae alisha msoma kwamba ni MUNAFIKUNA na hana mpango nae kabsaa hata wa kumpachika ujumbe wa mtaa. MAYALA njaa itammuua
 
Ni kweli ulichokion

Hakika Paschal na aache unafiki uliokithiri. Aje akujibu swali la msingi hilo,

Je mbunge Bashe, Nape, na wengineo hakuwahi kuwasikia wakiwa wanalia bungeni kulalamikia hivyo vyombo nyeti vya usalama juu ya utesaji na mauaji?

Kama kweli wanasingiziwa ni lini walikwisha toka na maelezo thabiti ya kujisafisha na tuhuma hizo.

P. aache unafiki.
Mnafiki Juha huyo achana nae tafadhali.
 
Back
Top Bottom