Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Na serikali hiyohiyo itaandaa tuzo kuwazawadia akina Zuchu[emoji23]
 
Wasafini mawakala wa shetani pumbafu zao
 
Mbona asilimia kubwa ya nyimbo za bongo fleva zinaongelea mapenzi?
 
Hongera sana mh Waziri tusiruhusu watoto wetu wakachezeshwa Huo upupu wa Zuchu Bora ingepigwa reggae wimbo mmoja wa Bob Marley au Lucky Dude.
Kwa hiyo hizo nyimbo wanajifunza shuleni?
Kama hazifai kwa nini hazikufungiwa?
 
BASATA kazi wanayo

Nguvu wanayotumia kubana miziki

Ya kina nay,roma watumie kubana pia miziki inayozungumzia na kusupport ushg,kuf713 kunyanduana

Ova
 
Vitoto vya kiyao tena asili tu kunyanduuana na mnawaongezea
Na mambo ya zuchu tena

Ova
 
Mbona asilimia kubwa ya nyimbo za bongo fleva zinaongelea mapenzi?
ni kweli, kuna lebo nne za wasanii wanaowika sana miaka hii zote zina wasanii wengi na kila msani albam yake yote imejaa mapenzi tu, mambo ya kutongozana. Bongo fleva ya mwanzo nyimbo za mapenzi zilikuwa chache sana na mapenzi yenyewe ilikuwa ni kusifia au kuonya mpenzi mkorofi. Wasanii wa zamani walikuwa na mada nyingi za kuimba, wengine walisifia mageto yao kuwa ni mazuri, waengine walisifia mavazi, ugali, umasikini, mila na utamaduni wa makabila yao, wengine waliungana wakasifia mikoa yao wanakotoka. Na video zao hazikuwa na mamodo wanaovaa nusu uchi
 
Haya wengine Hawa Huku🤣
 

Attachments

  • IMG_3521.MP4
    3.7 MB
Sasa walimu wataweza vipi kuzuia tabia binafsi za watoto walizozitoa kwao.

Viongozi wapumbavu ndio kama hawa.
 
Washapigwa chuma.
 

Attachments

  • Screenshot_20231106_164600_Chrome.jpg
    153.3 KB · Views: 3
We are living in a Failed State
 
Hoooney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…