Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

HII NI SEHEMU YA MASHAIRI YA HUO WIMBO, MWANAO AKIKUIMBIA UTAMUONA MWELEVU?

Japokuwa namchuna

Kang’ang’ana humo humo

Honey wangu akinuna

Namkatia viuno



Vitoto sahv ni kukatika
Kutmb na wengi wana 0713

Ova
 
Hii nchi viongozi wanafiki sana, unaweza Kuta huyo wazir watoto wake ni watu wa disco vibaya mno na yy ndio mfadhili.
Huyo Zuchu anaiwaimbia sana CCM kwenye vikao na mikutano yenu ambayo mnawasomba watoto na malori kutoka shule wahudhurie ni ujinga Kwa kweli alafu kwann basi Basata wasiwajibishwe.
 
Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....

Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Kuna haja ya kufanya utafiti tujue kwanini jamii ya vijana na watoto wanapenda nyimbo ambazo hazina maadili. Juzi nilisikia wimbo unapigwa redioni unasema: "Nataka kunya kunya kunya kunyanyua maiki" na watu wakawa wanafurahia nikashangaa sana. kuna tatizo mahali kwenye maadili ya jamii ya kitanzania kwa ujumla. Utafiti ufanyike ili kutafuta chanzo.
 
View attachment 2801642

Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.

“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.

Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”

Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Watoto wamefrah sana, tena ni watoto wadg mbona hili muheshimiw angeliacha lipite t
 
HONEEEEEEEY honey hiki kiwimbo ni aibu kuimba mbele za watu lakini ni kizuri sana...
 
Acha watoto waendele kuimba na kukata mauno mamiziki yenu
Maana hata hivyo inawafanya na kuwajenga kwenye kuzagamuana
Poleni sana wazaz maana sahv mna kizaz cha ovyo
Mitoto asubuhi tu washazibuliwaaaa
Na mpaka mkifika 2030 vitoto vitakuwa vimechakaa

Ova
 
Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....

Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Na hiyo video iko free. Kila mtu anaiona. Kesho lawama kwa walimu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Manyimbo ya waabudu mashetani yanapandikizwa kwa watoto wadogo kabisa.
 
Manyimbo ya waabudu mashetani yanapandikizwa kwa watoto wadogo kabisa.
Wazaz wenyew na kuna watu wanapenda...humu kwenye unaona
Wanapinga walim kupigw pini
Ila basata nao mujimbo hii wanaiachia
Na waiache,Acha mitoto ivurugwe
Shauri zao

Ova
 
Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....

Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Wanatafuta views u tube kule. Mziki una ushenzi mwingi saana
 
View attachment 2801642

Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.

“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.

Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”

Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Kwa yote waliyosema na kuamua ingekua poa saana hao wanasiasa wakacha kuwatumia hawa wasanii waimba matusi kwenye mambo yao ya kisiasa yote. Kwenye siasa wanawatumia na kuwapongeza kwa huo ujinga wanaoimba ila hapo waalimu wamekula adhabu kwa kitu ambacho mamlaka imeruhusu yenyewe
 
Kuna haja ya kufanya utafiti tujue kwanini jamii ya vijana na watoto wanapenda nyimbo ambazo hazina maadili. Juzi nilisikia wimbo unapigwa redioni unasema: "Nataka kunya kunya kunya kunyanyua maiki" na watu wakawa wanafurahia nikashangaa sana. kuna tatizo mahali kwenye maadili ya jamii ya kitanzania kwa ujumla. Utafiti ufanyike ili kutafuta chanzo.
Vodacom nao wana tangazo lao, "Maisha ni kutoooooo...", kutoa nini sijui, "Maisha ni kufiiiiiii..." kufikiwa nini sijui,
Wakulungwa hapa home nao wakaanza kuliiga, nikawaambia nikimsikia mtu anaimba hilo tangazo navuta mdomo hadi uvuke bahari, sijasikia tenaaaa....

Mbaya zaidi tangazo hua lipo katikati ya taarifa ya habari ya ITV
 
View attachment 2801642

Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.

“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.

Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”

Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Shule ya msingi = Mwalimu Mkuu
Shule ya sekondari = Mkuu wa Shule
 
HONEEEEEEEY honey hiki kiwimbo ni aibu kuimba mbele za watu lakini ni kizuri sana...
Watoto wanajua vibe lake

Tena hapo wanaposema popolopo popolopo
Sijui Dj we
Ongeza mdundiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]angusha mojamoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukiwakuta watoto mtaani wanacheza inshort inahuzunisha na kuchekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Zuchu sijui Chuchu ni mwanaccm wameshindwa kufungia wimbo wake wanaenda kuwavua walimu vyeo.

Mbona kuna majizi ya pesa za umma hayavuliwi vyeo ndio kwanza yanaitwa waheshimiwa.
Walimualika akawaburudishe ziarani
Na aliimba nyimbo hizohizo ambazo walimu wanavuliwa vyeo kwa kucheza.
 
Sijui labda macho yashakuwa ya uzee tena.... lakini sijaona kosa hapo la kufikia wakuu wa shule kuvuliwa vyeo tena ikiwa mari kutoka kwa waziri 🙁
 
Back
Top Bottom