Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tena walimu wenyewe wanacheza kawaida tuSijui labda macho yashakuwa ya uzee tena.... lakini sijaona kosa hapo la kufikia wakuu wa shule kuvuliwa vyeo tena ikiwa mari kutoka kwa waziri 🙁
Hata watoto wanaonyesha kufurahia
Itakuwa mkenda mawazo yake machafu anadhani kila mtu anayo.