Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Acha tu, nilibaki mdomo wazi wakati naangalia hicho kipande uzuri nilikua peke yangu.... halafu bora kingekua kifupi ila wameweka scene nzima ya verse ya Mbosso iwe hivyoAisee nilidhani unatania kumbe kweli bhana, tena mwanzoni tu mwa video.. nchi ngumu sana hii..